Wenzio wamesubiri toka januari, sasa sijui hiyo kidogo ni muda gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Toka January walikuwa wanasubiri nini wakati ugonjwa umeingia March 16?
Au walikuwa wanaahidiwa kuwa huu ugonjwa wa weupe, au ugonjwa wa nchi za baridi, au usio wa watu weusi huku kwetu hautafika wakati tukigoma kuwazuia wale wachina watalii marafiki zetu kuingia nchini?
Au siyo kile kipindi cha Profesa Kabudi kutuhabarisha ya Wuhan kabla hajaingia mitini mazima?