PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,517
- 13,258
Akionekana mwenye afya njema, Mr Nice aibukia jijini Nairobi, Kenya....mkali wa wimbo wa "kikulacho ki nguoni mwako" yuko mbioni kutuonesha vile vitu tumevikosa kutoka kwake...#TAKEUstyle
Pichani akiwa na msanii jaguar wa Kenya!
Pichani akiwa na msanii jaguar wa Kenya!