hata wema eti alitaka akagombee.....
Nini??????
hata wema eti alitaka akagombee.....
usisahau Kanumba naye kabla ya umauti aliwahi kuwazia siasa pia
hata wema eti alitaka akagombee.....
EAC walimbwaga
What a stupid conclusion. Hicho chama usichotaka ujulikane kuwa ni mwanachama wake kitakupitishaje kuwa mgombea wake? Yeye ni nani and what do you think is so special in him?
Kwani Wema asigombee? Mbona Mbilinyi amegombea?
Angalia ccm chama cha wang'oa meno wasikufanye kama walivyofanya kwa ulimboka
hata wema eti alitaka akagombee.....
Ulisikia MADARAKA NYERERE alivyosema kama sio wabunge wa UPINZANI asinge pata UBUNGE EAC; Wabunge wa CCM sio wote waliompigia kura na Walijua Maisha yake kifedha hayakuwa Mazuri hivyo campaign yake hakuweza kuwapa pesa za chai hao wabunge wampe kura...
Kama Sugu mbunge hata watoto watauweza huo ubunge watafute riziki
Hata Mulugo ni mbunge na waziriSugu mwenyewe Mbunge wacha na yeye ajaribu bahati huko.
usisahau Kanumba naye kabla ya umauti aliwahi kuwazia siasa pia
Hata Mulugo ni mbunge na waziri