Communist
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 5,400
- 1,186
Unamuingiza chaka, yeye anataka kinondoni.Ajaribu jimbo la ubungo
Unamuingiza chaka, yeye anataka kinondoni.Ajaribu jimbo la ubungo
Bungeni hakuna kuwaza. Mtu anaangalia upepo unaelekea wapi na kuufuata. Ndiyo maana wengine wanachapa usingizi wakiamka wadai wanaunga mkono hoja asilimia Mia mojaLakini kwa nini kila mtu akiwa maarufu anakimbilia kwenye siasa? Kuna nini huko hebu wadau nisaidieni..
Mr.2,Rwakatale{mchungaji},Dokii, ...........
Kunalipa. Kama nchi, tumewekeza kwenye siasaLakini kwa nini kila mtu akiwa maarufu anakimbilia kwenye siasa? Kuna nini huko hebu wadau nisaidieni..
Mr.2,Rwakatale{mchungaji},Dokii, ...........