Wema Sepetu naye anataka kugombea KINONDONI!
Bila kutaja chama wala jimbo namuona ni mbabaishaji , labda ndo nauli aliyokuwa anaisema hiyo
Siasa zimekuwa nyepesi sana kila mtu anataka ubunge hata Mwita Maranya, Mohamedi Mtoi, hawa nao wanataka ubunge.
CC. chama,
Huwezi kufika level za Mwita Maranya , Mohamedi Mtoi Molemo wewe level yako ni chama na zomba tu wachumia tumbo wenzako
Mkuu ni haki yake kikatiba kugombea. Lakini pia kutokutaja jimbo wala chama mapema ni strategy, ili kuchanganya maadui, kwahivi, brother yupo sahihi kabisa.Bila kutaja chama wala jimbo namuona ni mbabaishaji , labda ndo nauli aliyokuwa anaisema hiyo
nahisi itakuwa ni ruvuma ya tunduru,kwa kule kwetu mbinga hana ubavu.kuna vijana wasomi wanapiga jaramba kumpokonya tonge mdomoni mzee wa mapambio - komba.Mtarajiwa huyo Ruvuma huko!!!!!!!!!! sio kwa kupitia CHAMA CHA MAPINDUZI chama anajua mwenyewe!!!!!!!!!!!!!!!!
ebhanee kaka kumbe unamkubari jembe.leo umenifurahisha.Huna raha mpaka umsome Zomba? nawatakia kheri hao wagombea, wakijaaliwa kufika huko wamsalimie mbunge mahiri sana kuliko wote bungeni almaaruf Sugu.
.Hee,hii sasa kali!kila la kheri
k.i.k.w.e.t.e.rage.kigwangala,mwiguilu,na magamba wengine vichaaSiasa zimekuwa nyepesi sana kila mtu anataka ubunge hata Mwita Maranya, Mohamedi Mtoi, hawa nao wanataka ubunge.
CC. chama,
Bila kutaja chama wala jimbo namuona ni mbabaishaji , labda ndo nauli aliyokuwa anaisema hiyo