Mpoto kugombea ubunge

Mpoto kugombea ubunge

Siasa zimekuwa nyepesi sana kila mtu anataka ubunge hata Mwita Maranya, Mohamedi Mtoi, hawa nao wanataka ubunge.

CC. chama,

Hivi wewe unadhani Mwita Maranya na Mohamedi Mtoi ni watu wepesi vichwani mwao? Hebu angalia hoja wanazotoa humu JF na uzipime. Mkuu hawa 2 wakifika bungeni kila mmoja atatoa hoja ambazo zinaweza kuwa sawa na vichwa 20 vya wabunge wa ccm wa viti maalum na wabunge 10 hivi wa majimbo. Ukubali usikubali huo ndio ukweli.
 
Hivi wewe unadhani Mwita Maranya na Mohamedi Mtoi ni watu wepesi vichwani mwao? Hebu angalia hoja wanazotoa humu JF na uzipime. Mkuu hawa 2 wakifika bungeni kila mmoja atatoa hoja ambazo zinaweza kuwa sawa na vichwa 20 vya wabunge wa ccm wa viti maalum na wabunge 10 hivi wa majimbo. Ukubali usikubali huo ndio ukweli.
Mkuu Mikael P Aweda huyu jamaa huwa anataka ajilinganishe na wakina Mwita Maranya na Mohamedi Mtoi kwa hivyo vimistari viwili ambavyo anaandika hapa jamvini anasahau kuwa yeye ni mwimba taarabu
 
Last edited by a moderator:
Hana jipya huyo, anapenda kuficha manaeno. hawezi siasa za Bongo.
 
Msanii wa musiki wa kiasili mrisho (Mjomba) amesema mwaka 2015 amesema atagombea ubunge bila kutaja CHAMA WALA JIMBO ATAKALO GOMBEA ameyasema hayo kwenye kipindi cha tuongee cha star tv leo.
Ni vizuri ila kiswahil chake labda SPika asiwe Makinda hatamwelewa kabisa.
But ni move nzuri ndo wakati wake naye kuingia na atapaata popote atapogombea
Nadhani itakuwa CCM kulipa SUGU. si sehemu ya kuongezea viti maana mbali na Hapo CDM washambeba na wanaongeza kiti!
 
Hana jipya huyo, anapenda kuficha manaeno. hawezi siasa za Bongo.

Nani anaziweza? Bongo sasa kuna siasa basi?
Yeyote anaweza kuwa mwanasiasa kwa sasa na Kwa mjomba anaweza kuwa hata better kuliko watu kibao wanaolala bungeni kule! at least ataongeza changamoto na ni Mtu safi kama ataenda CDM. Akiwa CCM muda utafika atalala tu nayeye
 
Mbona JOTI wa ze-comedy nae jana kupitia redio clouds fm katangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la MASASI-MTWARA chama cha mafisadi (CCM​ )
 
Mbona JOTI wa ze-comedy nae jana kupitia redio clouds fm katangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la MASASI-MTWARA kupitia chama cha mafisadi (CCM )
 
Msanii wa musiki wa kiasili mrisho (Mjomba) amesema mwaka 2015 amesema atagombea ubunge bila kutaja CHAMA WALA JIMBO ATAKALO GOMBEA ameyasema hayo kwenye kipindi cha tuongee cha star tv leo.
hata asipotaja chama huyu bwana si mwana -magamba!
 
Bila kutaja chama wala jimbo namuona ni mbabaishaji , labda ndo nauli aliyokuwa anaisema hiyo

Hao ndio walewale akina Shibuda anasubiri akose nafasi kwa magamba alafu akimbilie kwingine,Cdm nafasi hizo hazitokuwepo tena anatakiwa ajue ajikane kwanza mapema ndipo aingie cdm
 
He is fit! But the best party to join with is cdm.
 
Atakuwa ameitumia haki yake ya kikatiba,lakini ingekuwa bora aendelee kuelimisha umma kwanza lasivyo ni kama ananyosha kidole kama Adela.
 
naiman naye mrisho mpoto kwnz n mzalendo ngoja niombe uzma nmwone ktk madaraka nauhakka utashnda tu.
 
Back
Top Bottom