PostGE2025 Mpoto: Daktari Samia wewe ni Profesa wa Uchumi

PostGE2025 Mpoto: Daktari Samia wewe ni Profesa wa Uchumi

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

tonicimmobility

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2025
Posts
493
Reaction score
1,038
Katika hafla fupi ya kuapishwa kwa Dkt. Mwigulu Nchemba kuwa wziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyofanyika leo November 14, 2025 jijini Dodoma, Mwanamashairi na msanii maarufu kwa kughani Mrisho Mpoto ameonekana katika hafla hiyo akitumbuiza kwa kueleza sifa za Rais Samia.

 
Mpoto chukua hii
 

Attachments

  • 20251114_065928.jpg
    20251114_065928.jpg
    93.4 KB · Views: 7
  • 20251114_065928.jpg
    20251114_065928.jpg
    93.4 KB · Views: 10
😁😁😁😁😂😂😂😂😂😂😂

Alimsikia mwenyewe alivyosema kuhusu elimu yake?

Eeeh, haya!! 😁😁😁
 
Sasa mtu mzima kam huyo Mpoto anakesha gateway kijichi pub kununua malaya. Hivi unafikiri kichwani kutakua na akili ya kuongea lolote la maana
 
Hayo kayasema lini kwanza ? Kabla sijamuhukumu vizuri ni vema nikajua hayo....

Sababu sidhani kama ufahamu wa kuweza kusoma nyakati na kama aliyasema zamani nadhani hii itakuwa sio kumtendea Haki kuyarusha leo...
 
Uzuri na wao wanasikilizishwa utopolo na lazima wasikilize huku wana hasira moyoni
 
Hayo kayasema lini kwanza ? Kabla sijamuhukumu vizuri ni vema nikajua hayo....

Sababu sidhani kama ufahamu wa kuweza kusoma nyakati na kama aliyasema zamani nadhani hii itakuwa sio kumtendea Haki kuyarusha leo...
Ameyasema masaa matatu yaliyopita
 
Back
Top Bottom