PostGE2025 Mpoto: Daktari Samia wewe ni Profesa wa Uchumi

PostGE2025 Mpoto: Daktari Samia wewe ni Profesa wa Uchumi

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Ameyasema masaa matatu yaliyopita
Basi hana Akili wala Busara..., Ni kama mtu unakwenda kutoa posa (kuchumbia) kwenye msiba (hata kama ni kweli mchumba anakupenda) let alone hakupendi...., Hii sio tu kwamba ni uongo (Samia sio Profesa wa Uchumi) bali hata wakati na muda sio muafaka wa kusema hayo....
 
Acha masikhara mkuu
Uliza wanaoendaga kumwagilia moyo gateway annex, ipo kijichi. Anakuaga uyo anacheza kamali ya pool table chini yupo peku peku. Akishakunywa konyagi zake anaondoka na malaya. Halafu kwenye msiba wa mkewe alivyokua anajiliza kinafki sasa.!

Siku za karibuni alifungua pub maeneo hayo hayo ya kijichi inaitwa skylight unaambiwa wahudumu wake wote tayari ashatomber
 
Basi hana Akili wala Busara..., Ni kama mtu unakwenda kutoa posa (kuchumbia) kwenye msiba (hata kama ni kweli mchumba anakupenda) let alone hakupendi...., Hii sio tu kwamba ni uongo (Samia sio Profesa wa Uchumi) bali hata wakati na muda sio muafaka wa kusema hayo....
Mkuu CCM wanapenda watu ambao hawana akili,
 
Uliza wanaoendaga kumwagilia moyo gateway annex, ipo kijichi. Anakuaga uyo anacheza kamali ya pool table chini yupo peku peku. Akishakunywa konyagi zake anaondoka na malaya. Halafu kwenye msiba wa mkewe alivyokua anajikiza kinafki sasa.!
Alooo, alafu mtu kama huyo ndio anapewa nafasi ya kutumbuiza kwenye hafla za ikulu, Logikos njoo muone kaka yako
 
Huyu mzee nae nilijaribu kumuheshimu hapo mwanzo nafsi ikagoma, kumbe kulikuwa na sababu ndo mwehu namna hii.
 
Back
Top Bottom