Mpira wa miguu ni mchezo mchafu kuliko matusi

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,462
21,334
Huu sio ubinadamu
najua wengi watafurahia lakini ushindi wa man city 6 man u 1
sio ubindamu wafike wakati waanafunga waangalie wanachezea wapi
na wachezaji waliopo wako kiwango gani;;ingawa ni fundisho kwa ndugu yangu
fergy lakini naamini kama akwenda kanisani kuanzia leo ataanza kwenda kanisani
 
uwanja wa old traford full rutuba ya magoli. mechi mbili za manu aseno na mancty
cheki 8+2+1+6=17. hamna uwanja mwingine duniani wenye mabao mengi hivi.
 
Mapweza F.C ndio chama langu la kizalendo. Mie sina mpango kabisa wa kuwa mshabiki wa timu za nje ya Tz. Nalog off
 
mhhhh! Pdidy!
\
bak we acha tu leo kwi kwi yaani mbaya zaiidi guest tumewaingiza wenyewe oldtrafford
wakatufanya mbaya aisee kweli usimcheke mtu jamani
 
uwanja wa old traford full rutuba ya magoli. mechi mbili za manu aseno na mancty
cheki 8+2+1+6=17. hamna uwanja mwingine duniani wenye mabao mengi hivi.
wacha urongo weweeeeeeeeeeeeeeeeeee... mwenge shooting tulimpiga mtu 16 kwa nne
 
Huu sio ubinadamu
najua wengi watafurahia lakini ushindi wa man city 6 man u 1
sio ubindamu wafike wakati waanafunga waangalie wanachezea wapi
na wachezaji waliopo wako kiwango gani;;ingawa ni fundisho kwa ndugu yangu
fergy lakini naamini kama akwenda kanisani kuanzia leo ataanza kwenda kanisani

Leo mashabiki wa MAN SIX au MAN U mbona hampokei simu
 
Hii week end imekuwa na vituko sana...

Yaani Barca jana waliponea chupuchupu...

The Blues wameonjeshwa ka kichapo kadogo...

Ila hili la Mashetani wekundu ndiyo nimelipenda sana...Ni bonge la lichapo!!

Yaani malipo ni duniani hapa hapa....Naamini leo Fergy na Rooney wanayaota magoli waliyowazawadia Arsenal wakidhani yangerudi leo yawasaidie...Simply put, Mwosha huoshwa...tena no delays!!
 
daaa kweli leo ilikua balaa yani since dk ya 87 zikatupiwa kamba 3 aaaaahhhhh pale ndo nikadata zaidi kujumlisha 6
 
wacha urongo weweeeeeeeeeeeeeeeeeee... mwenge shooting tulimpiga mtu 16 kwa nne
Hiyo ilikuwa netball maana mchezo mmoja, uwanja uleule na timu mbili magoli 20 yakazalishwa kwa siku moja!!???
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom