Mpina aibua Kashfa ya MAFUTA dhidi ya TPDC na VITOL

Mpina aibua Kashfa ya MAFUTA dhidi ya TPDC na VITOL


Dah!

Kuwakingia kifua mafisadi ni kuanzia kwa Rais Samia mwenyewe, kuja na takwimu za bei za mafuta za uongo, kutoa hotuba za kushadadia na kuhamasisha upandishwaji wa bidhaa nchini na kisha kumtimua Waziri wake wa nishati kwa kuusema ukweli halisi wa akiba ya mafuta!

Hapo dhamira ovu juu ya maisha yetu kutoka kwa viongozi wetu inajidhihirisha, mwenye macho haambiwi tazama!

Nchi hii tunakokwenda ni kubaya sana na kama kufika, tutafika tumechokeshwa sana.
 
Back
Top Bottom