Heshimu ndoa yako. Hivi ulioa kama fashion? Mbona ufikiri wetu unazidi kupungua??
Haswaa... mueleze dear.. nashikwaga na hasira nikiona ndoa iko like this ....Thanks.
Heshimu ndoa yako. Hivi ulioa kama fashion? Mbona ufikiri wetu unazidi kupungua??
Ndio wanaume wetu wa kiafrika hawa dah!!!!! wacha nijichekee mie
Umesema chiky !! bora wageni eeeh?!! hata mie umenichekesha...Ndio wanaume wetu wa kiafrika hawa dah!!!!! wacha nijichekee mie
Nenda! au usiende.... utajijua mwenyewe