Mpenzi wangu wa zamani ananitia majaribuni

Mpenzi wangu wa zamani ananitia majaribuni

Wa Kichina na Wahindi wakoje?

Sijui wewe unaona wakoje, maana mimi siwajui nijuze wewe.

Umesema chiky !! bora wageni eeeh?!! hata mie umenichekesha...

We mwarabu unasemaje????

umeninukuu vibaya bhana.

Mi nimeshangazwa na tabia ya mwanaume kupenda kuhudumiwa hadi anaona ndoa yake aina maana, hili lipo kwa wanaume wa kiafrika, mwanamke akiwa na hela anachagua tu ndoa yakuivunja, ila wenzetu huku hawana tamaa ya kutunzwa, umenipata atiiee.
 
Sijui wewe unaona wakoje, maana mimi siwajui nijuze wewe.



We mwarabu unasemaje????

umeninukuu vibaya bhana.

Mi nimeshangazwa na tabia ya mwanaume kupenda kuhudumiwa hadi anaona ndoa yake aina maana, hili lipo kwa wanaume wa kiafrika, mwanamke akiwa na hela anachagua tu ndoa yakuivunja, ila wenzetu huku hawana tamaa ya kutunzwa, umenipata atiiee.
Nani asiependa mteremko !??!
 
kosa kubwa ulilofanya ni kuwa na mawasiliano nae huku ukijua umeoa. why didnt u move on??
chagua moja kati ya kuharibu ndoa yako au kutunza ndoa yako!!
no need ya kuwa karibu kimawasiliano na ex wako
 
Kuna mwenzio mmoja amelala na beki tatu kampa mimba akaja kuomba ushauri hapa leo. Amezaa na mkewe watoto watatu tayari na ameongezamo mmoja na beki tatu.
Sasa na wewe unataka kuongeza uzao hata kufika Korea?
Ukijibu swali chukua hatua stahiki
 
unataka kwenda kwasababu yupo korea au. X wako unawasiliana nae nini? hamna namna we nenda tu ukalipe fadhila za zawadi zake
 
Acheni kupenda miteremko, mnatelekeza familia kwa hela ambazo anahudumia mwanaume mwenzenu, mwisho wa siku kuja kushtuka unarudi kwenye familia unakuta hakuna hata anayekuhitaji hata paka anakununia, mnabaki na aibu.
Princeple za biashara ni kuwatosheleza wateja zako!! unawashibisha mahitaji yao..... ndipo unafukuzia new client !!! hiyo haina aibu!!!
 
Kuna homa na Mafua ya MERS nenda tu pengine destination yako iko kule.!
 
Mkuu toka hapo njia panda mara moja,
kabla hujaingia majaribuni.
 
Mtu mzima mwenye mke unajiuliza hilo swali??????


Ila muulize mkeo, atakupa ushauri mzuri Mkuu
 
Angekuwa hapa usingeomba ushaur..acha kupenda makombo hamna cha kufikiria tulia na mkeo man
 
Nenda ili mkeo nae apate nafasi ya kwenda kwa ex wake UK
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom