Mpenzi wangu wa zamani ananitia majaribuni

Mpenzi wangu wa zamani ananitia majaribuni

Tarime one

Acha ujinga. Ndoa na iheshimiwe na watu wote.
 
Last edited by a moderator:
mangatara Hilo ndilo tatizo, anapenda niende mwenyewe dah!!
 
Last edited by a moderator:
Binafsi sijui unaomba ushauri gani? Rudi kwenye mafundisho ya kanisani au madrasa msikitini huko muulize mchungaji/sheikh nini maana ya ndoa, then hutarudi hapa. Hebu jivishe uhusika wa mkeo mpendwa angepata hiyo offer akaichukua ungejisikiaje...

Watu huharibu ndoa zao wenyewe kwa kukosa maarifa. Acha huo mpango na usiendekeze mawasiliano yenye sura ya mapenzi. Kuna namna nyingi za kusema hapana; mwambie umefikiri ukaona hiyo safari ni life experiance hivyo itawezekana tu kama atatakulipia ticketi ya Kwako na mkeo mpendwa.
 
Wewe nenda tu, ila uweke wife track na usipate presha ukiona route za Sinza Sinza... kwa wajanja
 
Nenda ukasafishe nyota, maana inaonekana kinachokupeleka ndio hicho
 
Na wewe kweli Ni mwanaume mwenye ndoa kwa Uzi huu❔❕➖aisee tuache utani.
 
Wala hauko Njia panda mkuu, mbona upo njia kuu tena high way!! We umeoa sasa X wa nini? Kama ni safari mwambie akutumie nauli za watu wawili wewe na mkeo uende nae! Geuza hayo mawazo yako na situation yako kwa mkeo,

kuwa ana X wake yupo nje na bado anampenda na anahitaji kumtumia ticket aende akamuone! How would you feel and react??? Usichopenda kufanyiwa usimfanyie mwenzio! Mkeo ana thamani kuliko hata hizo zawadi unazotumiwa na huko nje aliko huyo X wako.

Nakushauri usiwe na urafiki na ma X! Hakunaga urafiki kwa waliowahi kupendana wakaachana, utavunja ndoa yako ama kuleteana magonjwa maana hata mkeo anao ma X wake!
 
Hilo ndilo tatizo,anapenda niende mwenyewe dah!!

Tarime one;
Kataa kabisa hiyo offer. Waweza kufika kule akauza ticket yako ya kurudi ili akufaidi kwa muda wake. Uliamua kumtwaa huyu uliye naye, mtunze, mlee, ajisikie kuwa na kidume chake kilichompenda. Mwanamke yeyote yule, hunenepa akiwa na mume anaye mjali, wala si wali wa rangi na madoido
 
Mi nakushauri hivi kwa kuwa mkeo anamjua kuwa alikua x wako nendeni na mkeo.
 
Umewahi kufika Korea? ! Sasa kama amekualika wasiwasi wako ni nini?!
Mwambie umekubali mwaliko wake ila utaambatana na mke wako.
Nenda ukasafishe macho aisee!
 
Hii haihitaji ushauri kama wewe ni "mwanaume" kweli.
 
Tarime one

Dear, you are a married man. What else do you want from your Ex? Or what are you thinking she wants from you beside wanting to sleep with you? Brother, forget about that trip .. you are married...

And, first of all, how can you keep in touch with your Ex who never shared no kids . That's wrong .. quit talking with your Ex. Uwe na msimamo.. and please take care of your wife and family .. Thanks..
 
Heshimu ndoa yako. Hivi ulioa kama fashion? Mbona ufikiri wetu unazidi kupungua??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom