Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
Cooked story
Princeple za biashara ni kuwatosheleza wateja zako!! unawashibisha mahitaji yao..... ndipo unafukuzia new client !!! hiyo haina aibu!!!
Yaani mijanaume mingine bwanaa....penda dezoo eee...! Muage mkeo unaenda kwa ex-wako si umesema anamjua then akikuruhusu nenda...
Kiongoz wewe unakasirisha sana, Awali ya yote tumia akili na uache ujinga. Wewe umeshafanya maamuzi mazito kwa kumuoa huyo ulie nae sasa hivi. Huko kwa X unatafuta nini? na kama kuna mambo mazuri mbona hukumuoa huyo? Mheshimu mkeo na uache huo ujinga wa X coz huyo X anampango ukifika lazima akufungie kama dog coz anajua hutakuwa na nauli ya kurudi. Acha njaa za kijinga na kama una watoto fikiria namna ya kuipendezesha familia yako na sio mambo ya X. OVER
Sina njaa za kijinga kama unavyofikiria ,JF imevamiwa na watu wenye fikra finyu,don't judge mtu usiemfahamu kwa kumwambia aache ujinga.
Kabla Sijakushauli Kati Ya Hao Wawili Niyupi Umpendae?
Jibu liko wazi,nisingependa nisingeoa,but tatixo liko kwa x wangu,labda ana lake jambo ndio sababu nikaja humu kuomba ushauri.
Yaa Habibty haya tulifundishwa shuleni..... tena kama wamkumbuka Mwl. Biology!!!Sitaki kuamini kama unaesema haya ni wewe, loh!! mmhm!!