mtotomtamuu
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 602
- 1,454
Kama title inavyojieleza hapo ni kuwa nina mpenzi wangu ambaye natarajia kufunga nae ndoa muda sio mrefu lakini nimekuja kugundua kuwa ana tatizo la uume kuwa legevu na muda mwingine anashindwa kabisa kusex hadi inafika kipindi najiskia vibaya sana hata yeye pia anakosa amani.
Lakini licha ya yote hayo kutokea nimekuwa nikimtia moyo kuwa ajiamini tu huenda anakuwa na uwoga labda lakini sina uhakika na hilo na mimi kumuacha siwezi sababu ya mapenzi ya kweli niliyonayo juu yake.
Msaada tafadhali.
Lakini licha ya yote hayo kutokea nimekuwa nikimtia moyo kuwa ajiamini tu huenda anakuwa na uwoga labda lakini sina uhakika na hilo na mimi kumuacha siwezi sababu ya mapenzi ya kweli niliyonayo juu yake.
Msaada tafadhali.