Mpenzi wangu kaota nimekufa

Mpenzi wangu kaota nimekufa

Tusi la 4 kwa leo.

Kwa hiyo mimi sio MWANAUME sio.
hahahha nahesabiwa la kwanza na la 2 sijui nilitukana wapi

we mwanaume haswa tatizo hutulii na husna peke yake na anakupenda mpk kufunguliwa uzi mchezo Daby
 
hahahha nahesabiwa la kwanza na la 2 sijui nilitukana wapi

we mwanaume haswa tatizo hutulii na husna peke yake na anakupenda mpk kufunguliwa uzi mchezo Daby

Wew umenitukana ma 2 kuna mwenzio mengine Jovitha.


Unazungumzia kufunguliwa uzi watu tulishafunguliwa mioyo venacava tukakaa.
 
Back
Top Bottom