Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,627
At least baada ya mwaka unatakiwa ume umemchumbia umvishe pete ya uchumba then mwaka m'moja na nusu unaofuata unaweza kuanza process za kufunga ndoa takatifu....Mahusiano yenye future unatakiwa kukaa muda gani?