Daaaaah!! Yani utoke Katavi mpaka Dodoma kwa ajili ya mbususu, Tafuta pesa acha ujingaNdugu zangu humu wazima? Natanguliza samahani. But nachohitaji ni ushauri.
Mimi ni kijana napitia changamoto katika mahusiano yangu kama mnavyojua mapenzi yanavyoumiza hasa pale mtu unayempenda akichokwa na tabia zako na akafanya maamuzi ya kuvunja uhusiano, na wakati bado unamuhitaji, naandika haya kwa uchungu😭😭😭
Mahusiano yetu yalianza vizuri tu na tukaenda vizuri ila shida ilianzia kwangu, nilikuwa napenda sana nimtengenezee mwenzangu wivu ili asijeniacha na kitu nilichokuwa nafanya ni kupost picha za msichana mwingine na hii nilikuwa naifanya pindi mwenzangu akinikosea ila hii tabia mwenzangu ilimkera sana but sikuweza kushtuka nikajiona niko sahihi na nimefanya hiyo tabia ya kumpost huyo msichana mwingine kwa nyakati 3 tofauti
Sasa hii ya tatu mwenzangu ameona imezidi ameamua kuniacha karibu mwezi, sasa mawasiliano yetu sio mazuri baina yangu na yeye, kinachoniuma zaidi huyo dada niliyekuwa nampost siko nae kwenye mahusiano.
Mpenzi wangu hataki kunisikia hataki kuiniona ananiona mimi muongo muongo ila baada ya mambo kuwa magumu nimeamua nimueleze ukweli wa juu ya hicho ninachokifanya cha kupost huyo dada ila mwenzangu ndio hivyo hataki kunielewa
Sababu zilizonifanya niwe nampost huyo dada ni
1. Kumtengenezea mwenzangu wivu ili asije niacha
2. Akinikosea nilikuwa nampost ili walau aniulize huyo nani ili nipate chance ya kuchat nae
Maamuzi niliyochukua ni
1. Kuomba msamaha
2. Kuonesha ushahidi kuwa huyo msichana siko nae kwenye mahusiano
3. Kukutana na mchumba wangu ambae nimemkosea ili nimuelezea A-Z kipi hasa kinanifanya nafanya hivi
ila ndo hivo mwenzangu asilimia za kuniamini zimepungua amepunguza uaminifu juu yangu
4. Nimepanga safari ya kusafiri kutoka mkoa wa Katavi hadi Dodoma ili niweze kukutana nae tuzungumze hili suala japo % za kuweza kukuta ni mdogo maana bado mwenzangu ana wasiwasi na mimi ila mimi nimeamua niende hivyo hivyo japo sijui itakuaje
Nimeamua kuondoka na kumtafuta ili nifanye suluhu japo kipato changu kidogo ila nitajibana mpaka nifike huko tujadili haya mambo
Nisaidieni mawazo na namna sahihi ya kuweza kulimaliza hili suala langu
Mwenzangu mpenzi wangu yuko humu ni member sitapenda nitaje jina lake.
Kama atasoma haya maelezo nataka ajue nampenda sana na sipendi nimpoteze❤️❤️
Napitia kipindi kigumu cha mateso makali😭😭😭😭😭 mawazo , mambo yangu hayaendi muda mwingi natumia kuwaza haya tu😭😭 kazi zimesimama nakonda na ulaji wangu umekuwa sio mzuri kabisa😭
Ndugu zangu humu wazima? Natanguliza samahani. But nachohitaji ni ushauri.
Mimi ni kijana napitia changamoto katika mahusiano yangu kama mnavyojua mapenzi yanavyoumiza hasa pale mtu unayempenda akichokwa na tabia zako na akafanya maamuzi ya kuvunja uhusiano, na wakati bado unamuhitaji, naandika haya kwa uchungu
Mahusiano yetu yalianza vizuri tu na tukaenda vizuri ila shida ilianzia kwangu, nilikuwa napenda sana nimtengenezee mwenzangu wivu ili asijeniacha na kitu nilichokuwa nafanya ni kupost picha za msichana mwingine na hii nilikuwa naifanya pindi mwenzangu akinikosea ila hii tabia mwenzangu ilimkera sana but sikuweza kushtuka nikajiona niko sahihi na nimefanya hiyo tabia ya kumpost huyo msichana mwingine kwa nyakati 3 tofauti
Sasa hii ya tatu mwenzangu ameona imezidi ameamua kuniacha karibu mwezi, sasa mawasiliano yetu sio mazuri baina yangu na yeye, kinachoniuma zaidi huyo dada niliyekuwa nampost siko nae kwenye mahusiano.
Mpenzi wangu hataki kunisikia hataki kuiniona ananiona mimi muongo muongo ila baada ya mambo kuwa magumu nimeamua nimueleze ukweli wa juu ya hicho ninachokifanya cha kupost huyo dada ila mwenzangu ndio hivyo hataki kunielewa
Sababu zilizonifanya niwe nampost huyo dada ni
1. Kumtengenezea mwenzangu wivu ili asije niacha
2. Akinikosea nilikuwa nampost ili walau aniulize huyo nani ili nipate chance ya kuchat nae
Maamuzi niliyochukua ni
1. Kuomba msamaha
2. Kuonesha ushahidi kuwa huyo msichana siko nae kwenye mahusiano
3. Kukutana na mchumba wangu ambae nimemkosea ili nimuelezea A-Z kipi hasa kinanifanya nafanya hivi
ila ndo hivo mwenzangu asilimia za kuniamini zimepungua amepunguza uaminifu juu yangu
4. Nimepanga safari ya kusafiri kutoka mkoa wa Katavi hadi Dodoma ili niweze kukutana nae tuzungumze hili suala japo % za kuweza kukuta ni mdogo maana bado mwenzangu ana wasiwasi na mimi ila mimi nimeamua niende hivyo hivyo japo sijui itakuaje
Nimeamua kuondoka na kumtafuta ili nifanye suluhu japo kipato changu kidogo ila nitajibana mpaka nifike huko tujadili haya mambo
Nisaidieni mawazo na namna sahihi ya kuweza kulimaliza hili suala langu
Mwenzangu mpenzi wangu yuko humu ni member sitapenda nitaje jina lake.
Kama atasoma haya maelezo nataka ajue nampenda sana na sipendi nimpoteze
Napitia kipindi kigumu cha mateso makali mawazo , mambo yangu hayaendi muda mwingi natumia kuwaza haya tu kazi zimesimama nakonda na ulaji wangu umekuwa sio mzuri kabisa
Mapenzi yanauma sana, nakushauri ujinyonge mana hakuna jinsi kutokana na akili zakoNdugu zangu humu wazima? Natanguliza samahani. But nachohitaji ni ushauri.
Mimi ni kijana napitia changamoto katika mahusiano yangu kama mnavyojua mapenzi yanavyoumiza hasa pale mtu unayempenda akichokwa na tabia zako na akafanya maamuzi ya kuvunja uhusiano, na wakati bado unamuhitaji, naandika haya kwa uchungu
Mahusiano yetu yalianza vizuri tu na tukaenda vizuri ila shida ilianzia kwangu, nilikuwa napenda sana nimtengenezee mwenzangu wivu ili asijeniacha na kitu nilichokuwa nafanya ni kupost picha za msichana mwingine na hii nilikuwa naifanya pindi mwenzangu akinikosea ila hii tabia mwenzangu ilimkera sana but sikuweza kushtuka nikajiona niko sahihi na nimefanya hiyo tabia ya kumpost huyo msichana mwingine kwa nyakati 3 tofauti
Sasa hii ya tatu mwenzangu ameona imezidi ameamua kuniacha karibu mwezi, sasa mawasiliano yetu sio mazuri baina yangu na yeye, kinachoniuma zaidi huyo dada niliyekuwa nampost siko nae kwenye mahusiano.
Mpenzi wangu hataki kunisikia hataki kuiniona ananiona mimi muongo muongo ila baada ya mambo kuwa magumu nimeamua nimueleze ukweli wa juu ya hicho ninachokifanya cha kupost huyo dada ila mwenzangu ndio hivyo hataki kunielewa
Sababu zilizonifanya niwe nampost huyo dada ni
1. Kumtengenezea mwenzangu wivu ili asije niacha
2. Akinikosea nilikuwa nampost ili walau aniulize huyo nani ili nipate chance ya kuchat nae
Maamuzi niliyochukua ni
1. Kuomba msamaha
2. Kuonesha ushahidi kuwa huyo msichana siko nae kwenye mahusiano
3. Kukutana na mchumba wangu ambae nimemkosea ili nimuelezea A-Z kipi hasa kinanifanya nafanya hivi
ila ndo hivo mwenzangu asilimia za kuniamini zimepungua amepunguza uaminifu juu yangu
4. Nimepanga safari ya kusafiri kutoka mkoa wa Katavi hadi Dodoma ili niweze kukutana nae tuzungumze hili suala japo % za kuweza kukuta ni mdogo maana bado mwenzangu ana wasiwasi na mimi ila mimi nimeamua niende hivyo hivyo japo sijui itakuaje
Nimeamua kuondoka na kumtafuta ili nifanye suluhu japo kipato changu kidogo ila nitajibana mpaka nifike huko tujadili haya mambo
Nisaidieni mawazo na namna sahihi ya kuweza kulimaliza hili suala langu
Mwenzangu mpenzi wangu yuko humu ni member sitapenda nitaje jina lake.
Kama atasoma haya maelezo nataka ajue nampenda sana na sipendi nimpoteze
Napitia kipindi kigumu cha mateso makali mawazo , mambo yangu hayaendi muda mwingi natumia kuwaza haya tu kazi zimesimama nakonda na ulaji wangu umekuwa sio mzuri kabisa
Yake ni zaidi ya utotoUtoto raha sana
Mambo ya kutengenezewa wivu 😂Sijui kwanini nacheka ila ngoja nicheke kwanza Anyway pole sana natumaini mwnye mpenzi wake ataona hii…
nimefanya hivo kuyaanika haya kwa sababu nimefanya kila anina ya njia imeshindikana nimekuja huku ili nipate msaada wakuuLady Jaydee was right aliposema kuna wanaume kama mabinti.. at more than 25yrs bado unatengeneza wivu through posting? Total childish behaviour. Na sijui nan alikufundisha mahusiano.
My take is, hata akikusamehe, tayri ashakuona mtoto na hujakomaa kiakili so automatically heshima itashuka kwa kiwango cha 5G. Na kwa mwanaume, mwanamke wako akishakukosea heshima, unapoteza muda wako tu. Kinachofuata ni nyundo nzito.
Alaf pia, kama yuko humu, bado umejianika uchi sokoni, maana ataona pia hili lipost lako na ushauri unaopewa, so watever u do, ataona pia umeshindwa kuamua kama mwanaume but unaendeshwa na mawazo ya jamii.
My nigga, stand on ur stance kama mwanaume, go there, mchane live kuhusu ujinga wako na uskie atachoamua. Akileta usoro, vaa viatu pita hivi. Heri kufa ukiwa umesimama wima rather than kuishi on your knees kama kondoo.
Know your worth and take responsibility for your actions.
Wahed mkubwa!🤬
sasa mkuu hata iyo nasi ya kukutana bado ni %2 mpaka sasa hajib txt hapkei cm yani ni shidaNgoja nikupe mbinu ya kivita, azima kigari kijaze wese nenda nacho.
Ukifika usiongee sana, mbebe tu mzungushe kidogo atalainika
Ila ukienda na miguu ni ngumu kukuelewa.
sawa mkuuKama unaacha uachwe tu, badala ungemtreat vizuri mpaka aone wivu hizo treatment zisipelekwe kwingine we unahangaika na picha ,hii mitoto mingine 😀😀😀 Kwanza nadaiwa kodi hapa leo maza mjengo asiponitupia vitu vyangu nje !! Nitarudi kutoa ushauri
Kama mjinga vile😆😆😆ila wanaume wa saiv sijui mmekuajeMambo ya kutengenezewa wivu 😂
Mwanamke hatishiwi mkuusaq
sawa mkuu mm nimefanya hivo ila nimepata funzo na ndiomaana nimefanya kuja kujieleza huku sababu hum watu wanauzoefu tofauti
Amekuaje - mmekuajeKama mjinga vile😆😆😆ila wanaume wa saiv sijui mmekuaje