Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,921
- 14,821
Doh, najuta kutoa email yangu
Maana ndio mvua za maswali kama haya,
Money Penny, me Nina mpenzi wangu nampenda Sana, lakini ana tatizo moja Tu
Money Penny: Tatizo gani?
Kijana: anapenda Sana kucheka, Yani akikutana na kitu kinachekesha, hapo mjipange DK 10 mpaka 15 anacheka yeye tu.
Money penny: uweee, sasa utafanyaje?
Kijana: naona hata aibu kumpeleka Kwa familia yangu, na familia yangu walivyo serious mambo ya kuchekacheka hawana
Money Penny: Kwani dada anachekajs Huyo?
Kijana: We Acha tu, hata Mimi siwezi muigizia, sijui nafanyaje
Money Penny: mmekaa kwenye mahusiano Miaka mingapi??
Kijana: miezi 3
Haya wale wenye Sura zao spesho muje mumpe msaada kijana ya watu
Maana ndio mvua za maswali kama haya,
Money Penny, me Nina mpenzi wangu nampenda Sana, lakini ana tatizo moja Tu
Money Penny: Tatizo gani?
Kijana: anapenda Sana kucheka, Yani akikutana na kitu kinachekesha, hapo mjipange DK 10 mpaka 15 anacheka yeye tu.
Money penny: uweee, sasa utafanyaje?
Kijana: naona hata aibu kumpeleka Kwa familia yangu, na familia yangu walivyo serious mambo ya kuchekacheka hawana
Money Penny: Kwani dada anachekajs Huyo?
Kijana: We Acha tu, hata Mimi siwezi muigizia, sijui nafanyaje
Money Penny: mmekaa kwenye mahusiano Miaka mingapi??
Kijana: miezi 3
Haya wale wenye Sura zao spesho muje mumpe msaada kijana ya watu