Mpenzi wangu anatumia namba mpya ya simu kwa siri.

Mpenzi wangu anatumia namba mpya ya simu kwa siri.

We nenda ila kuwa na maamuzi yako. Maana huyo binti hakupendi ni mnafiki tu

Umenena mkuu huyu binti mnafiki sana ila this time imekula kwake aisee uvumilivu nimeacha kabisa maana kwa hali hii itakua sio uvumilivu tena inakua ni uzoba
 
usiende, mpotezee huyo
laa si ivo, utajuta
 
Sio wako huyo..we nenda tu kwa huyo mama jkaze kiume na funguka wazi wazIiii
 
Mbona sio mpenzi wako?

"Mapenzi ya siku hizi ruksa kushikana lakini sio kushikiana simu -Fidq"
 
Duh!! Cha Kufanya Hapo, Bora Uende Kwa Mama Na Ukamweleze Kilakitu Ambacho Huyo Dada Amekufanyia. Kwan Hayo Mahusiano Yenu Mama Alikuwa Anayafahamu.?
 
Kuachana na mtu si mpaka usubiri mapenzi yako kwake yaishe...ukisuburu basi jua utaachwa wewe...
Ukiona uhusiano haueleweki jiweke pembeni...
Ndio maana yanaitwa maamuzi magumu...unaacha mtu huku bado unampenda tena sana...unaongozwa na akili si hisia...

Sasa wewe umeshindwa kumuacha huyu dada mpaka kumtafutia replacement...?
Hilo ni kosa la pili...
Ulitakiwa utulie; ukae chini ujiulize ulikosea wapi kwenye kuchagua...
Hiyo bandika bandua itaku cost tena...utarudia kosa lile lile...
 
Jaman wanajamvi mim ni
kijana mwenzenu, nilianza uhusiano na mdada flan tangu 2011wakati huo
yeye alikua anasoma diploma chuo flan huko mkoan, mim nilikua first year
chuo kipo hapa dar, baada ya mda mpenzi wangu alinunua laini mpya ya
simu bila kuniambia kwamba anamiliki lain hyo baadae alisahau na
kujikuta siku moja amenitafuta kwa lain hyo, nikamuuliza hiyo namba ni
ya nani? Akajibu ni rafiki yangu,

Mm binafsi nilipata mashaka san hivyo ile namba nikaisave ili mwisho wa
siku nijue ukwel, baada ya siku nying kupita nilianza kupiga ile namba
lakin haipokelewi hata mara moja, nikapata wasiwasi zaidi, aliporudi
likizo nikamuuliza vizuri akasema siyo namba yake hapo nikapata wazo la
kuangalia mwenye hyo namba kwenye tigo pesa nikakuta ni jina la mpenzi
wang, nikamsihi aseme ukweli na hapo akafunguka na kuniomba samahani
nami nikamsamehe lakin baada ya mda nikamuomba aseme ukweli kua hyo lain
kwann alikua anaitumia akasema alikua anatumia kuwasiliana na mpenzi
wake wa zaman anapotaka kumsalimia na akaongeza kua hakua na nia mbaya,
mm nikakubali ili yaishe na yeye akasema hyo lain ameisha ivunja.
Likizo iliisha akarudi chuo baada ya mda mrefu nikajaribu kupiga ile
namba nikakuta inatumika siku hiyo kwa sabab na mm nilipiga na namba ya
rafiki yangu hivyo baada ya yeye kumaliza kuongea akaona missed call
akapiga nikapokea alivyosikia ni mm akakata simu na kuitoa hiyo lain,
siku hyo kwangu ilikua mbaya sana, baadae tukaongea nikasamehe.

Haikuishia hapo alinunua nyingine tena nayo niliipata baada ya
kujichanganya na kunitumia meseji kwa namba mpya maana alikua anatumia
simu ya lain mbili,nikauliza akajibu samahani hii lain ni friend wangu
nikamwambia una uhakika? Hapo akawa na kigugumizi sikuendelea na hyo
topic, siku zikapita nikarudia kuitafuta ile namba ikaita sana bila
majibu, nikamwambia akawa mkali sana, ikabidi mm niwe mpole ili nijue
mambo zaidi.
Baada ya mda nikaangalia jina lain ni ya kwake na alikua anajiamini kwa
sabab mm natumia mtandao tofauti na hyo lain hvyo sio rahisi kumuangalia
kwenye tigo pesa, nilipojua akaomba samahani tena.

Nilichowaza ni kwamba mpenzi wang sio mkweli hivyo nikaamua kumuondoa
moyoni, siku zikapita kuna siku nimepiga simu akapokea mwanaume
nikashtuka sana wala sikuamin ikabidi nikate simu nilipopiga tena
akapokea mpenzi wang nikauliza nani alipokea simu akasema kua ni yeye
mwenyewe alipokea, nikawa mpole tu, kuna wakati kila tulipomaliza
kuagana simu yake ilitoweka hewani kila siku tena kwa lain zake zote na
ikifika saa 12 asubuhi anapatikana nikiuliza anasema mtandao unasumbua
huko mkoa.

Hivi juzi tu Baada ya visa hivyo niliamua kuchepuka ili nimsahau na
niondoe stresse, na kwa bahati nzuri amejua na kuniuliza baada ya kuona
profile picture ya mdada kwenye whatsapp yang, alichokifanya alisema kwa
mama yake na jana mama yake alinipigia simu kua niende ana mazungumzo
na mm, je ndugu mnanishaurije? Niende au nisiende? Mm tayari
nimeshamwambia ukweli kua nimechepuka

mnnnnnnnnn ebu wana mmu njooni huku kuna kesi.
 
How old are you? Na huyu ni mpenzi wako wa ngapi?... ninachoona mimi.. Huyu binti amegundua wewe ni zoba fulani hivi .. sasa mama yake kamwambia ukimwancha huyu mdwanzi hupati mwingine tena wa kumtawala kiasi hicho.. sorry lakini ni maoni yangu, yawezekana si hivyo...

Huo ndio ukweli KIJANA whether ukatae au hapana.
 
OK, nakushauri achana na huyo binti...

Jamaa anasema si zoba lakini ushauri anaoomba unamuonyesha hivo. Anasema amemwambia msichana wake eti amechepuka, kumbe basi ana mpango wa kumrudia. kwanini asimwambie kwenye profile ni mke wangu mtarajiwa. Na kama lengo la kumpata huyu mpya ilikuwa ni kumuonyesha yule wa zamani basi hata huyu wa sasa historia inaweza jirudia. Bado anasema hataki kufanya maamuzi ya hasira wakati hata hiyo profile ya msichana wake ni hasira maana ameshindwa kumuweka wazi wa zamani kwamba hamhitaji tena.
 
Jaman wanajamvi mim ni kijana mwenzenu, nilianza uhusiano na mdada flan tangu 2011wakati huo yeye alikua anasoma diploma chuo flan huko mkoan, mim nilikua first year chuo kipo hapa dar, baada ya mda mpenzi wangu alinunua laini mpya ya simu bila kuniambia kwamba anamiliki lain hyo baadae alisahau na kujikuta siku moja amenitafuta kwa lain hyo, nikamuuliza hiyo namba ni ya nani? Akajibu ni rafiki yangu,

Mm binafsi nilipata mashaka san hivyo ile namba nikaisave ili mwisho wa siku nijue ukwel, baada ya siku nying kupita nilianza kupiga ile namba lakin haipokelewi hata mara moja, nikapata wasiwasi zaidi, aliporudi likizo nikamuuliza vizuri akasema siyo namba yake hapo nikapata wazo la kuangalia mwenye hyo namba kwenye tigo pesa nikakuta ni jina la mpenzi wang, nikamsihi aseme ukweli na hapo akafunguka na kuniomba samahani nami nikamsamehe lakin baada ya mda nikamuomba aseme ukweli kua hyo lain kwann alikua anaitumia akasema alikua anatumia kuwasiliana na mpenzi wake wa zaman anapotaka kumsalimia na akaongeza kua hakua na nia mbaya, mm nikakubali ili yaishe na yeye akasema hyo lain ameisha ivunja.
Likizo iliisha akarudi chuo baada ya mda mrefu nikajaribu kupiga ile namba nikakuta inatumika siku hiyo kwa sabab na mm nilipiga na namba ya rafiki yangu hivyo baada ya yeye kumaliza kuongea akaona missed call akapiga nikapokea alivyosikia ni mm akakata simu na kuitoa hiyo lain, siku hyo kwangu ilikua mbaya sana, baadae tukaongea nikasamehe.

Haikuishia hapo alinunua nyingine tena nayo niliipata baada ya kujichanganya na kunitumia meseji kwa namba mpya maana alikua anatumia simu ya lain mbili,nikauliza akajibu samahani hii lain ni friend wangu nikamwambia una uhakika? Hapo akawa na kigugumizi sikuendelea na hyo topic, siku zikapita nikarudia kuitafuta ile namba ikaita sana bila majibu, nikamwambia akawa mkali sana, ikabidi mm niwe mpole ili nijue mambo zaidi.
Baada ya mda nikaangalia jina lain ni ya kwake na alikua anajiamini kwa sabab mm natumia mtandao tofauti na hyo lain hvyo sio rahisi kumuangalia kwenye tigo pesa, nilipojua akaomba samahani tena.

Nilichowaza ni kwamba mpenzi wang sio mkweli hivyo nikaamua kumuondoa moyoni, siku zikapita kuna siku nimepiga simu akapokea mwanaume nikashtuka sana wala sikuamin ikabidi nikate simu nilipopiga tena akapokea mpenzi wang nikauliza nani alipokea simu akasema kua ni yeye mwenyewe alipokea, nikawa mpole tu, kuna wakati kila tulipomaliza kuagana simu yake ilitoweka hewani kila siku tena kwa lain zake zote na ikifika saa 12 asubuhi anapatikana nikiuliza anasema mtandao unasumbua huko mkoa.

Hivi juzi tu Baada ya visa hivyo niliamua kuchepuka ili nimsahau na niondoe stresse, na kwa bahati nzuri amejua na kuniuliza baada ya kuona profile picture ya mdada kwenye whatsapp yang, alichokifanya alisema kwa mama yake na jana mama yake alinipigia simu kua niende ana mazungumzo na mm, je ndugu mnanishaurije? Niende au nisiende? Mm tayari nimeshamwambia ukweli kua nimechepuka

!
!
nadhani umeshajijibu mkurugenzi. Kwa bi mkubwa nenda ila nashauri usikubali kuongelea matatizo yenu na demu wako kwa bi mkubwa wake. Mwambie matatizo yenu mtayamaliza wenyewe. Na usishangae akawa keshamwambia bi mkubwa wake kilichotokea so bi mkubwa anataka kumuombea msamaha. Tupa kule kudadadeki kubrastika.
 
Nenda alafu umtongoze mama yake umgegede alafu umpige picha uiweke whatsapp.
 
Mwanaume gani huna maamuzi?? Unataka tukushaurije??
Ukifika ukweni mwambie umeamua kuwa na mpenzi mpya kwasababu huyu wa sasa si mwaminifu.
 
Hiyo kusamehe yako hiyo itakutokea puani, ukimwi hausamehe mtu.
Halafu unadai mpenzi wako!! Miye naona wewe ndio unaiba huyo demu.

Sent from my SM-G800H using Tapatalk
 
Huyu demu wako ni mpuuzi na hafai hata kupewa cheo mke hapo mbeleni, hapo ni wazi kuwa huko alipo anaishi na mtu ila hana uhakika kama atamuoa or not . Ndo maana wew anakufuga tu for future use. Piga chini huyo demu . Ila show respect kwa mzazi wake, nenda na mpe ukweli period
 
Acha uduanzi aseeeh!
Umefanywa zombi wewe....
Piga chini na kwa huyo mama yake usiende, unakuwa km wa kike bana.
 
Back
Top Bottom