Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,094
ndo wale wale maana ktk mapenzi bwana km utaachana na mwenza unashauriwa kutulia ili ujitathmini nini kilisababisha muachane ili ukipata mwingine mtulie na kufkia malengoI see, sasa asiye malaya ni nani?
..Kwani tofauti ipo wapi kwa anayevua kwa wanaume wawili na yule anayevua kwa mmoja miezi mitatu, then abadilishe mwingine
maana mi mahusiano just for funny yaani sikuwahi kuyafkria kwa kweli na sipendi hiyo tabia ya kumegwa na kuachwa