Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 20,316
- 50,223
Unafiki ni kariba yetu watzwatanzania wengi ni wanafiki hawana mfano we ona ata umu jf watu wanavunga matajiri omba msaada sasa utaambulia pole na dhihaka nyingi
Unafiki ni kariba yetu watzwatanzania wengi ni wanafiki hawana mfano we ona ata umu jf watu wanavunga matajiri omba msaada sasa utaambulia pole na dhihaka nyingi
Kama Uko dar Fanya kun pm Mimi Nina mpaka 37 Sina mtoto natafuta hata mtoto wa kusingiziwa lakini sipati, njoo unisingizie hiyo mpenzi Mimi ntalea kuliko kukiuwa kiumbe kisicho na hatia
Unafiki ni kariba yetu watz
Huyu rafiki yetu akaze moyo azae alee mtoto atafurahi mbeleni.
Mamdogo watu wengine wanashangaza sana, kasema yeye ana kazi nzuri halafu eti baba wa mtoto amesema atoe mimba kwa kuwa hana uwezo wa kulea...hiyo kazi yake nzuri kama haiwezi kutunza mtoto uzuri wake ni nini sasa?mamdogo
We hufai hata kuwa mke huna siri suala la mimba lilitakiwa iwe siri yako na mchepuko wako kwa umri huo 29 yrs bado unafanya ngono nzembeMimi nina Mika 29 ninafanya kazi nzuri tu. Ila sasa nikawa sinamtu mda mrefu nikajikuta natuliza miwasho kwa Dereva mmoja wa bajaji.
Sasa swala linakuja kuwa tumedumu kwa muda wa mwezi na Sasa nimegundua ni mjamzito wa week mbili. Kwanzia mwanzo kabisa siku ya Kwanza aliniambia usije beba mimba yangu kua hawezi kulea Saiv.
Nimemwambia juu ya ujauzito anasema nitoe yeye hataki kulea kwani anamtoto mmoja na anashindwa kuhudumia....
Je mnanishaurije?
Hilo nenoMamdogo watu wengine wanashangaza sana, kasema yeye ana kazi nzuri halafu eti baba wa mtoto amesema atoe mimba kwa kuwa hana uwezo wa kulea...hiyo kazi yake nzuri kama haiwezi kutunza mtoto uzuri wake ni nini sasa?