Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,024
- 87,517
Umenena vyema mkuu.
aya nimaisha yake hapaswi kuwaza watu watasema nini juu yake akiwasikiliza watu atakosa vyote watu hao hao wataanza mbana haolewi angekuwa na mtoto tu wakati umli umeshakata
Bai ze wei usingle mother uko mitandaoni nimeudhuria harusi nyingi tu jamaa wameoa mabinti wsliokwisha zaa