Mpenzi wangu ananidekeza kinoma Mazee!

Mpenzi wangu ananidekeza kinoma Mazee!

Mtaaalam Wa static hahahah tumia section mtoto umpate
 
Mwombe 0713. Lazima ataingia mitini...

Asipoingia mitini akakutunuku huo mtandao ujue kabisa hiyo bikra unayosema umeikata ilitokea Shan Sho Pu.
Ndugu [HASHTAG]#aspirin[/HASHTAG] nimejaribu kufuatilia michango yako. Mkuu una comment nzito nzito tu. Hongera kwa hilo. Unajaribu kumpa mawazo ya kufanya maamuzi magumu.
 
I sinki zisi is chai (kingereza kuonyesha msistizo)ila kuna wanaume hawakui we umepata mtu anakudekeza wataka nini zaidi jufunze ebu kwa wenzio huku jf wanalia wamepata wake vimeo na wanajuta hawawezi toka ndoan wako na kile kitanzi cha roho mpaka iache mwili tulia dogo km n destiny nyie kuwa pamoja mtakuwa au useme umeichokahiyo nyapu unataka nyingine find it zipo nyingi lakn wenye mioyo ya upendo na utulivu ni wachache tuliza kipira
 
Daah! yani wengine tunatafuta wakutupenda na kutudekeza.. Wengine mnataka kuwapiga teke..! Ila sawa samani ya mtu sikuzote inaonekana hakiwa hayupo. Mweleze ukwel tu mkuu wala usimpoteze mda na bahati uko dada wa watu akajua amepata mume kumbe kumbe mpuzi asisamin hata isia zake
 
Huyo demu atakuwa ni mchaga,maana wachaga wanapendaga kiboya wakipata mtu anaejua kugegeda.
 
Habari za jioni hii wana MMU, baada ya shughuli ya siku nzima nimekuja tena kwenu hapa!

Ee bwana ishu ya leo ni huyu binti ambae kwa sasa ni mpenzi/demu wangu, nimekuwa nae kwa miaka kama mi 4 sasa
huyu binti alipoteza usichana wake kwangu na kwa uzuri alionao sikuwahi kuamini kama angekuwa bikra lakini ilikuwa ivo!

Aaah sasa ishu ni kwamba uyu mwanamke ananidekeza kinoma, kila ninachotaka nakipata yaani sisumbuki sumbuki yaani.....kitu ambacho nadoubt uwezo wake wa kufikiri!

Kiukweli sina Mpango wa Kumuoa huyu Mwanamke Maana hajameet Criteria yangu ya kuwa na high au angalau Normal inteligence!

ishu kubwa ni hio yaani amejirahisi sana kwangu na hilo ja,bo halinipi amani maana nashindwa kumtaftia kosaa na mimi sina future nae kabisaa...so inaniwia vigumu kumuacha.

Sasa wale wenye experience nisaidieni Mwanamke wa dizaini hii Namuachaje? Maana sihisi tena ule upendo niliokuwa nauhisi kwake mwanzo! na kibaya she believes in me the most.....naona sometimes anatumia mda wake mwingi kuniombea na hilo jambo linanikosesha amani.

Nisaidieni Mazee!
Right kama ningempata mwanamke uliye nae kwa sasa hata nisingethubutu muacha hata mara moja, kama utamuacha huyo mwanamke jua utafunzwa baadae. Huwa namuomba Mungu nipate mwanamke aliye na tabia kama ya huyo uliye nae lakin naangukia pabaya leo hii unataka umuache dah!
 
Sasa unategemea nani atamuoa??? Yaani bikra umtoe alafu sisi tuje kula matapishi??? So sad, wewe oa tu, tena nasema oa...
Binafsi nakushauri muoe haina jinsi Mkuu

Wewe oaaaaaaaaaaaaaa, nasema oaaaaaa haraka sana
Hahaha...TOL_Tanzania oxygen ltd upo right
.
 
I hope no one discovers you
Hope no one sees her
I hope no one falls in love with you
I've got my reasons
'Cause if they knew what I know then I know I wouldn't stand a chance
There's no way you would go for a man like me if you had options

[Chorus]
Even though the world was meant for you
I hope you don't get famous
'Cause everyone will love you but won't love you like I do, oh nah
Hope you don't get famous
Stay home with me
Stay home with me
I'll always love ya, I'll always
Hope you don't get
Hope you don't get famous
Hope you don't get famous
Hope you don't get famous
Hope you don't get famous
Yeah
 
Nyie viumbe huwa hamueleweki mnataka ninii unapendwa hupendwi
 
I hope no one discovers you
Hope no one sees her
I hope no one falls in love with you
I've got my reasons
'Cause if they knew what I know then I know I wouldn't stand a chance
There's no way you would go for a man like me if you had options

[Chorus]
Even though the world was meant for you
I hope you don't get famous
'Cause everyone will love you but won't love you like I do, oh nah
Hope you don't get famous
Stay home with me
Stay home with me
I'll always love ya, I'll always
Hope you don't get
Hope you don't get famous
Hope you don't get famous
Hope you don't get famous
Hope you don't get famous
Yeah
Anza na Montiii
 
Back
Top Bottom