Nakuambia ni comment yako ndo imenileta hapa aki, sijasoma juu nimebaki mdomo wazi!!!
Siku ingine ukiudhika just call me mchepuko wangu, huku kuko na wajukuu wetu aki....
Ni kweli naakikuchoka anakutemaKuhusu kukupa unachohitaji nikwamba anaebwana mwenye pesa anamuhonga, kwahiyo unakula jasho la mwanaume mwenzio,
NB. Wanaume wengi wanaoa wanawake ambao hawajatarajia.
Umeona sasa?wewe unataka mke intelligent halafu eti hapo pamekushinda kuelewa!!rudi nyuma katafute hiyo intelligence mmepishana.Mkuu sasa umeandika nini?


I love you mpango wangu pekee wa kandoNimekuelewa mama... I will.
Oke by the way nimemwacha Rubataruka akiwa Principle wa coet, nyahoro yupoo, shirima na Miamba wengine wengi!Nina wasiwasi na wewe kuwa Engineer. Sijui CoET inatuletea Jamii gani hii. I hope wale Wazee wasingestafu/fariki. Angalau tungekuwa na standard. Enzi za rwambuka, tesha, Ndizi, rubaratuka, kimombo, masanja, isingo, nyahoro kubwa la maadui, John, chungu Hao ni baadhi tu. Vijana walikuwa clean kweli. Anyway ndo maisha yanabadirika hivo
Unawaza utumbo tu. Mpaka unaudhi agh!!!!!!!!!!!!!. Ma Eng. hatuko hivo bhanaOke by the way nimemwacha Rubataruka akiwa Principle wa coet, nyahoro yupoo, shirima na Miamba wengine wengi!
Ninauhakika umemaliza chuo juzi hata huna registration ya ERB. Dogo maisha hayako hivo. Enzi zetu wadada walikuwa wanakuja kusoma CoET Kwasababu Walikuwa na uhakika kuwa Engineer ni mtu wa uhakika sio utumbo unaoshusha humu. Naona mi-thread yako ya hovyoshida unakuja kumsemesha Engineer kama artist.....hukusoma CL for Engineers??
Nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri!, ulisoma course gani CoETNinauhakika umemaliza chuo juzi hata huna registration ya ERB. Dogo maisha hayako hivo. Enzi zetu wadada walikuwa wanakuja kusoma CoET Kwasababu Walikuwa na uhakika kuwa Engineer ni mtu wa uhakika sio utumbo unaoshusha humu. Naona mi-thread yako ya hovyo
Daaaah wewe kilaza aisee, mwanamke wa kuoa ni yule anayekupenda na kukusikiliza. Yaan usiombe kuoa mwanamke mjuaji anayekuona wewe sawa na fala flan. Ila oa mwanamke ambaye utamwambia kitu anafanya hata kama hataki ili wewe uwe na furaha. Yaan ukioa hao wengine mpaka mgegedo utapangiwa siku na ukimuuliza anakwambia nimechoka. So mm nipo kwenye ndoa miaka 9 sasa nina uzoefu mkubwaHabari za jioni hii wana MMU, baada ya shughuli ya siku nzima nimekuja tena kwenu hapa!
Ee bwana ishu ya leo ni huyu binti ambae kwa sasa ni mpenzi/demu wangu, nimekuwa nae kwa miaka kama mi 4 sasa
huyu binti alipoteza usichana wake kwangu na kwa uzuri alionao sikuwahi kuamini kama angekuwa bikra lakini ilikuwa ivo!
Aaah sasa ishu ni kwamba uyu mwanamke ananidekeza kinoma, kila ninachotaka nakipata yaani sisumbuki sumbuki yaani.....kitu ambacho nadoubt uwezo wake wa kufikiri!
Kiukweli sina Mpango wa Kumuoa huyu Mwanamke Maana hajameet Criteria yangu ya kuwa na high au angalau Normal inteligence!
ishu kubwa ni hio yaani amejirahisi sana kwangu na hilo ja,bo halinipi amani maana nashindwa kumtaftia kosaa na mimi sina future nae kabisaa...so inaniwia vigumu kumuacha.
Sasa wale wenye experience nisaidieni Mwanamke wa dizaini hii Namuachaje? Maana sihisi tena ule upendo niliokuwa nauhisi kwake mwanzo! na kibaya she believes in me the most.....naona sometimes anatumia mda wake mwingi kuniombea na hilo jambo linanikosesha amani.
Nisaidieni Mazee!
Ha ha course inahusika nini hapo. Rudi kwenye maada mkuu. Yaani atakama nilisoma kiswahili Ila sina mawazo Kama yako. Na sijui kama wasoma kiswahili wanakuwa ma EngineerNina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri!, ulisoma course gani CoET
