Mpenzi wangu amesema ikisimama asubuhi haisimami tena mpaka kesho asubuhi je hii ni kawaida au mwanaume ni shoga?

Mpenzi wangu amesema ikisimama asubuhi haisimami tena mpaka kesho asubuhi je hii ni kawaida au mwanaume ni shoga?

Ni kawaida tu hasa mtu akiwa bize na kazi.
Wee
 
Kichwa cha juu kikiwa busy kusaka pesa kichwa cha chini hoi bin taabani....jingine, kama hunivutii kiviile hata huku chini hamu inakuja kwa kusuasua
Huyo bwana ako sio wa Daslamu kweli?
Hahaha ndio
 
Asubuhi Mtu lazima asimame coz hiyo ni morning shift tu, night shift bado hajapata overtime.
Is that man normal?
 
haijasimama yangu mwaka wa pili huu.. Ila nikitaka isimame inasimama vyuuu
Weeee
Weka picha tuone
 
Sasa unataka aache kutafuta hela adidindishe siku nzima?
Kwa siku mara 1? Kwani ni shoga?
 
Back
Top Bottom