Mpenzi wako wa kwanza kabisa yuko wapi?

Mpenzi wako wa kwanza kabisa yuko wapi?

Ni zamaaaanii ilaa

Tulipotezana baada ya ye kwenda Marekani kusoma
Siku moja kwenye foleni mtaa wa Samora namuona jamaa..jmn nyie acheni tu..time is everything..hata kwa dawa sikubali kurudi pale
Tulivokua wadogo nlimuona ana medium height ss mtu mzima naona hajarefuka bado yuko almost palepale flani hivii

Mhh nilijikausha tu km sijamuona ila zamani ningeweza zimia kwa presha

Hahaha hivi kwanini ukimuona mtu unampenda unavibrate na moyo unaenda mbiooo Yaan mama unchanganyikiwa hivii
 
Yupo ana watoto watatu na ndoa yake yenye furaha. Huwa tunasalimiana kimtandao coz tupo marafiki. Last time nilikutana nae MNH nikiwa nasubiri wife ajifungue, we hugged na kupiga stories mbili tatu. Hatuna hard feelings na heshima mbele kama tai.
 
Sijui alipo Nlikuwa Form Three alikuwa form four....Utani wangu na Vituko vyangu vilimfanya anipende ,....baba yake alikuwa mnoma so nlipigwa mkwara nikawa Sina Time nae(Hapo hakuna aliyemtongoza mwenzie) Week ikapita Siku ya michezo nipo zangu Nyuma ya shule ....rafiki yake Cathy Akanifuata akaniambia Fr Anataka kuongea na wewe ....subiri hapa usiondoke....Mara why umenisusa ,nimekukosea ...kupunguza story Nkapewa barua .....Nina shauku ya kusoma ....natamani Nifike nyumbani kwa speed ya light ....mvulana nikatongozwa....😂😂😂😂
Sina hati nzuri...ila nilijipinda mpaka saa 7 nkapata hati nzuri nikajibu barua....mazee.....sikuwahi kuromance ila siku iliyofata miadi ...nkalambwa mate...siyo mimi niliyemlamb Coz nko na aibu kinyama when it comes to den**da.......Mapenzi Moto Moto....ni mwendo wa Kulana mate..😂 bahati mbaya ndo alikuwa karibu kumaliza F4 ila alizama kwangu....kafanya Mtihani ..kafail bse of me ....mshua wake akampeleka shule fulani kurudia ...... Akampata mshkaji was Huko ambae alikuwa baharia kunizidi me Akala kitumbua ...nkaonekana fala ...nililia Day ananambia Mimi sijui kitu na hawezi kuwa na me .....ndo nilikuwa nimemaliza F4 kwa kuwa I don't give a fvck about my past life.......Sijui alipo japo ndo Dem wa Kwanza kunipa 😘
 
Namakumbuka mpenzi wangu Tunda Mpiga sijui yuko wapi? mara ya mwisho nilikuwa naye JKT Msange Tabora, OPP. programme ya chama! kwa mujibu wa sheria, hayupo face Book wala INST. nje nimezunguka sijawahi muona!
Pole mkuu
 
Back
Top Bottom