The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 8,011
- 11,430
- Thread starter
- #61
Na wew hua huringishiii wako au no drama?Huwa ananitafuta na kuniringishia watoto wake mwaka jana kapata mtoto wa nne
Na wew hua huringishiii wako au no drama?Huwa ananitafuta na kuniringishia watoto wake mwaka jana kapata mtoto wa nne
Sina neno ,ila ye ndo alikua ananata kisa mi nimemfiaa...nkaona heri nikaushe tuIt is interesting...
Ila ungempa hi tu maana maisha ni safari. Au wew uliweka uadui kabisa?
fikra zako tu mkuu tuliachana kwa wema kbs lkn unapopoteza kitu ndio fursa ya kupata kilicho bora zaidi"Hata sitamani kujutana nae"
Nimehisi tukio hapo..au fikra zangu?
Ohoo changanya na zako hapo 🤣
Ni zamaaaanii ilaa
Tulipotezana baada ya ye kwenda Marekani kusoma
Siku moja kwenye foleni mtaa wa Samora namuona jamaa..jmn nyie acheni tu..time is everything..hata kwa dawa sikubali kurudi pale
Tulivokua wadogo nlimuona ana medium height ss mtu mzima naona hajarefuka bado yuko almost palepale flani hivii
Mhh nilijikausha tu km sijamuona ila zamani ningeweza zimia kwa presha![]()
Me drama hapana labda angekuwa na hela nyingiNa wew hua huringishiii wako au no drama?
👊👊👊Demu wangu wa kwanza ndo mke wangu wa ssa
Congrates
Hahahaha acha urongo wwHamna Goddes, kuna watu roho zao ndiyo zimejikunja haswa ila wengine wachache roho zao nyeupe chokaa ni nyeusi
ManYna JF miaka bukuJiandae jumatatu shule
EmotionsHahaha hivi kwanini ukimuona mtu unampenda unavibrate na moyo unaenda mbiooo Yaan mama unchanganyikiwa hivii
Pole mkuuNamakumbuka mpenzi wangu Tunda Mpiga sijui yuko wapi? mara ya mwisho nilikuwa naye JKT Msange Tabora, OPP. programme ya chama! kwa mujibu wa sheria, hayupo face Book wala INST. nje nimezunguka sijawahi muona!