Sijui alipo Nlikuwa Form Three alikuwa form four....Utani wangu na Vituko vyangu vilimfanya anipende ,....baba yake alikuwa mnoma so nlipigwa mkwara nikawa Sina Time nae(Hapo hakuna aliyemtongoza mwenzie) Week ikapita Siku ya michezo nipo zangu Nyuma ya shule ....rafiki yake Cathy Akanifuata akaniambia Fr Anataka kuongea na wewe ....subiri hapa usiondoke....Mara why umenisusa ,nimekukosea ...kupunguza story Nkapewa barua .....Nina shauku ya kusoma ....natamani Nifike nyumbani kwa speed ya light ....mvulana nikatongozwa....😂😂😂😂
Sina hati nzuri...ila nilijipinda mpaka saa 7 nkapata hati nzuri nikajibu barua....mazee.....sikuwahi kuromance ila siku iliyofata miadi ...nkalambwa mate...siyo mimi niliyemlamb Coz nko na aibu kinyama when it comes to den**da.......Mapenzi Moto Moto....ni mwendo wa Kulana mate..😂 bahati mbaya ndo alikuwa karibu kumaliza F4 ila alizama kwangu....kafanya Mtihani ..kafail bse of me ....mshua wake akampeleka shule fulani kurudia ...... Akampata mshkaji was Huko ambae alikuwa baharia kunizidi me Akala kitumbua ...nkaonekana fala ...nililia Day ananambia Mimi sijui kitu na hawezi kuwa na me .....ndo nilikuwa nimemaliza F4 kwa kuwa I don't give a fvck about my past life.......Sijui alipo japo ndo Dem wa Kwanza kunipa 😘