Mpenzi wako wa kwanza kabisa yuko wapi?

Mpenzi wako wa kwanza kabisa yuko wapi?

Demu wangu wa kwanza nikimwona huwa namkwepa demu mpambanaji sana anafanya biashara zake anapesa now yaan pesa ipo nilimwacha kizembe sana yule manzi najuta mi sina pesa km yy kanizidi kila kitu mpaka naona soo ku met nae da nililamba garasa nilifanya usajil mbovu sana wajanja wameoa na watoto tayar kapata mi ndio hivo tu napambana kutafuta
Dah!
Na wewe Mkuu pambana upate zako heshim iwepo na ujasiri wa kusalimiana naye utakua nao
 
Namba yake ishafungiwa nida walifanya yao japo kwao napajua ila kwenda naona jau af ataniona mnyonge so nishampotezea saiv namahusiano yangu mapya hope nayeye anayo pia tho last time nawasiliana nae alinilalamikia kua jamaa alonae hamtreat vzr kama mm sa sijui kama bado wapo nae.
Hii kuonekana mnyonge ni wewe umetengeneza tu ndani ya mindset ila unaeza kuta wala haipo hivyo na anataman siku moja msalimiane..hlf acha uwoga
 
Huyu binti alikuwa anaitwa Siwazuri

Alinitoa bikra yangu huyu kiumbe na kunifundisha namna ya kushurutisha mwnamke kitandani ilikuwa ni theory na practical za kula bumunda alinipa elimu ya kupiga mipigo ya kudeal na mlokole, kahaba, good girl na tomboy.

Alinifundisha mema na mabaya Mpaka nikamaliza darasa la saba sec tulipotezana wakat kamaliza fomu four alienda Mwanza huko.

Imepita miaka mingi bila kumuona Siwanunu wangu.
We ni me au ke
 
Back
Top Bottom