The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 8,011
- 11,430
- Thread starter
- #41
Pole Mkuu kwa yaliyotokeaMpenzi wangu wa kwanza tulidumu miaka 3 lkn tangia tulipoachana hatujawai kukutana wala kusalimiana kwenye simu yani nimemsahau kabisaa ata sitamani kuwa nae ata angekuwa mbunge wa viti maalumu