Mpenzi wako wa kwanza kabisa yuko wapi?

Mpenzi wako wa kwanza kabisa yuko wapi?

Sijui na sitaki kujua ambae wa muhimuni yule alienisaidia kipindi cha shida huyo nitajua alipo na ninajua alipo na anaendeleaje

Tofauti na hapo sitaki kujua wengine walipo au wanafanyaje
 
Ni zamaaaanii ilaa

Tulipotezana baada ya ye kwenda Marekani kusoma
Siku moja kwenye foleni mtaa wa Samora namuona jamaa..jmn nyie acheni tu..time is everything..hata kwa dawa sikubali kurudi pale
Tulivokua wadogo nlimuona ana medium height ss mtu mzima naona hajarefuka bado yuko almost palepale flani hivii

Mhh nilijikausha tu km sijamuona ila zamani ningeweza zimia kwa presha😛
 
Mi alikuwa barmed hata sijui alipo nlikula mara mbili tu. Nlimpata nikiwa nimemaliza form4 nasubiri matokeo mwaka 98. Ilikuwa hivi. Siku moja nimemsindikiza shemeji yangu bar yeye alikuwa anapiga ulabu. Mm na safari zangu(siku ya kwanza kunywa bia). Basi yeye akatongoza mschana mmoja hapo bar. Basi tumekunywaaaaa mi sina hili wala lile nikahisi nimekumbatiwa kwa nyuma na mdada mwingine wa bar. Alikuwa mzuri kuliko wote na shem nlimwambia namtamani yule mdada ila namwogopa kumwambia.
Kumbe alienda akamtongoza kwa niaba yangu. Actually alikuwa mkubwa ki umri kuliko mimi ila sio sana. Nlihisi baridi ghafla nikahisi kutetemeka maana sikuwahi kufanyiwa hivo. Akaanza manjonjo kibao pale mala kunywa mpenzi vimeenda vimerudi.
Usiku akanichukua tukaenda kulala kwake. Aisee nlipiga mzigo karibu usiku kucha maana mashine ilisimama haikulala hadi asubuhi. Ile asubuhi mdada wa watu analalamika mwili mzima unamuuma. Akaninunulia supu nikanywa akanisindikiza hadi hom.
 
Wale tulioanza mapenzi utotoni inatuhusu hii?
 
Back
Top Bottom