miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
OkeyId yako imenijulisha kwanini neno "hela" imeonekana kwenye maandishi yako
Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
OkeyId yako imenijulisha kwanini neno "hela" imeonekana kwenye maandishi yako
Ya zamani fukiaIla kwa zamani ilikuaje
Akhsante mkuu, Mnyamwezi mrefu mwembamba wa wastaniPole mkuu
Yupo ana watoto watatu na ndoa yake yenye furaha. Huwa tunasalimiana kimtandao coz tupo marafiki. Last time nilikutana nae MNH nikiwa nasubiri wife ajifungue, we hugged na kupiga stories mbili tatu. Hatuna hard feelings na heshima mbele kama tai.
Tayari mkuu😄😁😁😁..
Vipi Mkuu saiv umeshakua competent?
Daa! mkuu kitu kimepanda kinyamwezi ni ile mbaya, kwao Tabora, mawazoo! alikuwa na ka hekima fulani hivi!Mkuu inaonekana ulikua unampenda sana yeye T,
"Nje" unamanisha wapi?
Ulikua unajua viwanja vyake huko nje?
Msaidie tu mkuu, ilà usimle. Najua hiyo huruma inaweza kuleta mambo ilà ukisimamia hivyo utaona vile atakuheshimu.Yupo ameolewa,watoto wawili,anaishi nyumba ya familia,maisha yamemchapa kweli kweli,mumewe mkorofi,mlevi na malaya.mwaka jana alinitafuta,nakiri nilimnunulia simu,pia namsaidia shida ndogo ndogo.
Mara nyingi tukiongea kwenye simu huwa analia.Sio siri nakua namwurumia sana.
Namaanisha aliolewa na mtu mwingine,na huyo jamaa kwa sasa ni marehemu. Hivyo ni mjane na mimi nilishaoa mwingine.Mkuu polee...
Au hujaumia kwa hilo au nakosea kuandika hivyo?
Endelea Kula tu kwa macho hata ucjaribu kumvurugia ndoa yakeWakuu Salaam;
Kila mmoja hupitia mambo kadhaa katika mahusiano na mojawapo ni hili la mahusiano kuvunjika kwasababu mbalimbali.
Binafsi Mpenzi wangu wa kwanza tuliachana kwasababu kadhaa baada ya yeye kumaliza kidato cha sita na mimi kwenda Chuo. Alikua akisoma huo ukanda ulipo mkoa wa Dar Kwa upande wa elimu ya sekondari ngazi ya A level.
Baadaye alichaguliwa kwenda Chuo morogoro maana aliniambia hadi fani aliyochaguliwa kwenda kusoma. Kwa kipindi tulichoachana hakukua na mawasiliano ya karibu tena.
Mwaka huu 2020 niliambiwa na rafiki yake kwa sasa yuko Dar na ameajiriwa na kampuni moja hivi kwenye kitengo kizuri tu. Kuna Nickname alikua akiipenda sana nimwite hivyo nimemtafuta instagram nimempata na kuona picha zake. Binafsi nimeshawishika sana kurudiana naye sema kwa sasa haiwezekani maana tayari kaolewa na ana watoto watatu.
Mme wake ana kazi ya kawaida tu hapo mjini ila huyo dada ndiyo ana kazi nzuri.
Niko nabungaa tu sahivi, sijajaribu hata kumtafuta kupitia instagram nimsalimie zaidi ya kucheki posts zake. Kuna siku niliona kaposti yuko na mmewe na watoto wao, nilikula kwa macho tuu.
Wakati mwingine naona posts yuko kwenye seminars, vikao mbalimbali n.k
Huenda tungekua mbali kimaisha kama tungekua pamoja. Nalolitambua ni kua kwenye maisha hamna haja ya kulalamika au kuhuzunika. Ni kuchukua ustaarabu tu.
Vipi upande wako, unafahamu alipo mpenzi wako wa kwanza kwa sasa na ungetamani kurudiana naye?
Nakubaliana na wazo lako, na mbaya zaidi iwe kuna mradi au kaz alihusika, basi atataka kila kitu kianguke ili umuhim wake uonekaneWengi wanatamani utetereke sema ndio haiwezekani unabaki kushangaa anavyozidi kunawiri.
Hujaamua tuu, ni ishu ya priority...ukiamua mbn chap tuu
Huyo unatakiwa umsahau na utafute mwingine..mbn wako sanaDaa! mkuu kitu kimepanda kinyamwezi ni ile mbaya, kwao Tabora, mawazoo! alikuwa na ka hekima fulani hivi!
Nje na maana ya, Western Maseru- Kingdom of Lesotho, baadaye akahamishiwa Libreville- Sao tome and Principe! na Reunion, UNICEF.
Dah Anajuta hlf kuna kitu kinamuumiza sana..hapo atazidi juta kama yeye ndiyo alifanya uamuzi wa kuvunja mahusiano au alikua na tabia fln ambazo siyo zilizovunja mahusiano.Yupo ameolewa,watoto wawili,anaishi nyumba ya familia,maisha yamemchapa kweli kweli,mumewe mkorofi,mlevi na malaya.mwaka jana alinitafuta,nakiri nilimnunulia simu,pia namsaidia shida ndogo ndogo.
Mara nyingi tukiongea kwenye simu huwa analia.Sio siri nakua namwurumia sana.