Malaika AD
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 496
- 316
- Thread starter
- #21
Hizo pictures ni wewe au joking nime compare na avatar yako it means malaika wewe???
Ni mimi mwenyewe. Kwani ushawahi muona malaika wapi?
Hizo pictures ni wewe au joking nime compare na avatar yako it means malaika wewe???
Jamani leo na mimi nijaribu bahati yangu humu jukwaani, labda naweza vua samaki kwenye shamba la miwa, upweke huu! Mh! Kwa mlio zoea matusi na kejeli wala sivihitaji, mpite mkinyata kimya kimya mnipishe na walio serious.
Natafuta mpenzi wa kweli, mambo ya ndoa yatakuwa makubaliano.
Mimi ni dada mwenye umri wa miaka 28, elimu yangu stashahada, mkristo mcha Mungu, kazi yangu mwanariadha(mkimbiaji), naishi na wazazi wangu hapa mwanza, sina mtoto wala sijawahi kuolewa, niko tayari kuhamia mkoa wowote nitakao pata mpenzi sababu hii kazi yangu ni ya msimu, muonekano wangu - nime attach picha yangu hapo chini.
Haya sasa, wasifu wa nimtafutae;
Umri kuanzia 35+, najua wengi wao wana ndoa lakini kwa hao masingle wachache na mimi niambulie mmoja. Iwe wamechelewa kuoa, wameachika, wagane n.k mi sijali. Nahitaji mtu aliyenizidi kuanzia miaka 7. Halahala kwa wenye watoto kama saccos.
Awe na kipato cha kututosheleza, hapa niwe muwazi tu, yaani wale njaa njaa siwahitaji, kama umezoea kuhonga maelfu hapa kaa kando.
Elimu kuanzia kidato cha nne ila awe muelewa jamani, maana wenzangu na mie tusiosoma huona kila aliyesoma anaringa.
Awe mwenye uwezo wa kutekeleza majukumu yake yote haswaa kama mwanaume. Sipendi wanaume wanaotoa mwanya kwa wenzao kuwasaidia.
Muonekano wa kawaida, nataka gentleman jamani, sipendi mwanaume m-beautiful.
Awe mwenye tabia njema, watoga masikio, wavaa vipini puani, wavaa milegezo wapite mbali kabisa.
Kwa mwenye sifa aliye tayari, karibu sana.
Mbona hivyo we mutant gene! Kwani kukaa siwezi? Au ninyi hapo nyuma mnataka kupafanyia nini labda niwaulize!
Sema ukweli wewe ni mwana riadha au ni bondia???
Jamani leo na mimi nijaribu bahati yangu humu jukwaani, labda naweza vua samaki kwenye shamba la miwa, upweke huu! Mh! Kwa mlio zoea matusi na kejeli wala sivihitaji, mpite mkinyata kimya kimya mnipishe na walio serious.
Natafuta mpenzi wa kweli, mambo ya ndoa yatakuwa makubaliano.
Mimi ni dada mwenye umri wa miaka 28, elimu yangu stashahada, mkristo mcha Mungu, kazi yangu mwanariadha(mkimbiaji), naishi na wazazi wangu hapa mwanza, sina mtoto wala sijawahi kuolewa, niko tayari kuhamia mkoa wowote nitakao pata mpenzi sababu hii kazi yangu ni ya msimu, muonekano wangu - nime attach picha yangu hapo chini.
Haya sasa, wasifu wa nimtafutae;
Umri kuanzia 35+, najua wengi wao wana ndoa lakini kwa hao masingle wachache na mimi niambulie mmoja. Iwe wamechelewa kuoa, wameachika, wagane n.k mi sijali. Nahitaji mtu aliyenizidi kuanzia miaka 7. Halahala kwa wenye watoto kama saccos.
Awe na kipato cha kututosheleza, hapa niwe muwazi tu, yaani wale njaa njaa siwahitaji, kama umezoea kuhonga maelfu hapa kaa kando.
Elimu kuanzia kidato cha nne ila awe muelewa jamani, maana wenzangu na mie tusiosoma huona kila aliyesoma anaringa.
Awe mwenye uwezo wa kutekeleza majukumu yake yote haswaa kama mwanaume. Sipendi wanaume wanaotoa mwanya kwa wenzao kuwasaidia.
Muonekano wa kawaida, nataka gentleman jamani, sipendi mwanaume m-beautiful.
Awe mwenye tabia njema, watoga masikio, wavaa vipini puani, wavaa milegezo wapite mbali kabisa.
Kwa mwenye sifa aliye tayari, karibu sana.
Uko poa kabisa, purely bantu lady, hujapiga deki uso. Hujasema utaratibu wa mawasiliano...hapa hapa hadharani au chumbani(pm)
Nikupongeze kwakuwa mkweli na muwazi mno, Mungu atakusaidia utapata utakacho! Kwa tuliopitia upweke tunajua feelings zako hasa wewe mwanamke
Jipe moyo fumbia macho post zote zitakazokukejeli utafanikiwa, usipoteze muda wako kujibishana na watu usiowafahamu
Ukifanikiwa naomba niwe kwenye kamati ya maandalizi
Picha haziendani na speech yako
Bandiko zuri kabisaaaaaa. Ungeweka ukiwa umevaa na nguo za michezo (riadha) kabisa, anyway ngoja waje..
Sent from my phone
Mbona hivyo we mutant gene! Kwani kukaa siwezi? Au ninyi hapo nyuma mnataka kupafanyia nini labda niwaulize!
Nakuunga mkono. Dada kajieleza vizuri sana. Hii ndio inayotakiwa. Mungu akusimamie umpate umpendae.
angalia picha hizo...mwana riadha na hiyo shape!!! shape na pozi ya kibondia kabisa...
hahahahahahhs ukimletea za kuleta firstdate hachelewi kukulapua lol
Amina. Ukienda Idimi niletee numbu.
Unamaanisha nini sasa
hiyo picha mwanariadha ni vitu viwili tofauti.