Mpende mwanamke lakini usimwamini katu!

Mpende mwanamke lakini usimwamini katu!

Huwa wanaanza taratibu kama hivi mwanamke haaminiki, Mara sijui usimpende kesho tutasikia acha tuone wenyewe kwa wenyewe huko ndipo tunakoelekea sasa
Hizo ni fikra Mfu Sana, lengo ni kuepusha wanaume kuingia mazima ama miguu miwili kumpenda mwanamke then wakisalitiwa wanajiua. Wajue tu kuwa mwanamke Haaminiki na si jamaa yako mna undugu wa kitandani muda wowote unakufa huo undugu. So wasifikie hatua ya kijiua kisa Kusalitiwa.
 
Kama ilivyo kwa mwanaume .. Unaweza ukampa mapenzi yote mpaka akajihisi yuko sayari ya jupiter huko, ukamjali na kumheshimu kama vile mungu wa pili ... Kumpenda sasa ndio usipime ... Na ila bado atasepa na kwenda kwa mwingine .... Trust no one dears....
Hivi unni mapenzi yote ni yapi hayo?
 
Mwanamke kama maji babu.....
Hujui maji ni oksjeni unajitengenezea ukaachana maji yalikwisha tengenezwa maana kuna muda wanakuwepo vimelea..! Bora kama huwezi tengeneza yachujwe tuuh..!
 
Suala la Kusalitiwa na kupelekea kujinyonga, kijiua kisa mapenzi kivyovyote linatokana na kumwamini sana mwanamke. Usijaribu kabisa kufanya hivyo.
Mwanamke Haaminiki, anaweza pewa pesa, Mashine kuuchezea vilivyo na kupewa Huduma za kumridhisha lakini bado akakusaliti. Trust non in love affairs.
Kujijengea mazingira ya kutomwamini sana mpenzi wako itakupunguzia kuhamaki na Kuchukua Maamuzi yasiyo na tija pindi Ikitokea kukusaliti.

Sijawahi kumwamini mwanamke katika mahusiano hata ya Huko awali na yeyote sitomwamini japo ninampenda.
Ukimpenda Sana ni tatizo, na usipompenda sana pia tatizo so bora lipi?
Mama'ko ni hivyo hivyo?
 
Suala la Kusalitiwa na kupelekea kujinyonga, kijiua kisa mapenzi kivyovyote linatokana na kumwamini sana mwanamke. Usijaribu kabisa kufanya hivyo.
Mwanamke Haaminiki, anaweza pewa pesa, Mashine kuuchezea vilivyo na kupewa Huduma za kumridhisha lakini bado akakusaliti. Trust non in love affairs.
Kujijengea mazingira ya kutomwamini sana mpenzi wako itakupunguzia kuhamaki na Kuchukua Maamuzi yasiyo na tija pindi Ikitokea kukusaliti.

Sijawahi kumwamini mwanamke katika mahusiano hata ya Huko awali na yeyote sitomwamini japo ninampenda.
Ukimpenda Sana ni tatizo, na usipompenda sana pia tatizo so bora lipi?
we jamaa upo kama mm aisee ni marufiku kabisa kuwaamni awa viumbe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom