Mpende mwanamke lakini usimwamini katu!

Mpende mwanamke lakini usimwamini katu!

hahha bas umenifananisha ! ujana age hii dogo? afu mbn sikufaham
mwanaume Huwa Hamfananishi Anayemfahamu,Mie Yule Yule Wako Wa Sikuzote Kasoro Majina,uniwekee Ile Picha Niliyokupga Ya Mguu Wa Bia Si Unajua Mguu Wako Tu Unanifanya Nikuone Mpya Kila Mara
 
mwanaume Huwa Hamfananishi Anayemfahamu,Mie Yule Yule Wako Wa Sikuzote Kasoro Majina,uniwekee Ile Picha Niliyokupga Ya Mguu Wa Bia Si Unajua Mguu Wako Tu Unanifanya Nikuone Mpya Kila Mara


field unafanyia wapi?
 
anafurahisha genge tu !usiombee usaliti wa mwanaume
Huyo jamaa nadhani hajui alisemalo. Usaliti regardless gender na kafanyiwa nani kwenye mahusiano huwa unauma sana na hata kama ulikuwa humpendi msaliti kivile but ukisikia tu "kaingia banda la uani" lazma uumie. Tena mahusiano ya sasa Mungu kuwa last resort haaa, Mtangulize na yeye akuongoze akue busara na hekima katika yote.
 
Water is colorless, mwanamke hapendeki. akipendwa sana tatizo asipopendwa sana pia tatizo.
Water is colorless, mwanamke hapendeki. akipendwa sana tatizo asipopendwa sana pia tatizo.

Huwa wanaanza taratibu kama hivi mwanamke haaminiki, Mara sijui usimpende kesho tutasikia acha tuone wenyewe kwa wenyewe huko ndipo tunakoelekea sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom