Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,177
- 34,444
If hauko happy in a relationship just leave!Ni kumwamini mdomoni ila si mpaka moyoni, utaumia ukimwamini mwanamke, mwanaume huumia zaidi wakitendwa na Uvumilivu mdogo sana.
Madame S
If hauko happy in a relationship just leave!Ni kumwamini mdomoni ila si mpaka moyoni, utaumia ukimwamini mwanamke, mwanaume huumia zaidi wakitendwa na Uvumilivu mdogo sana.
Hata Baba yako akimwamini sana mkewe ipo siku yatamkuta hata uzeeni. kuzaa haimaanishi anaaminika aliezaa.Tatizo nyie mabishoo mnachanganya msichana na mwanamke, we baba yako asingemuamini mama yako leo ungeandika huu uzi? come on kama kamekusaliti kasichana kako usifananishe wote
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa mada uaminifu na mapenzi ni mambo yanayienda sambamba
Huwezi kumpenda mtu bila kupitia stage ya kumuamini
Mbona wapo pia wanaume wanapewa huduma stahiki na wanawake zao na still wanasaliti? Hilo hujaliona sio? Tuache tupumue jamani!
Madame S
Najaribu kuwaza kwa sauti labda yamemfikaanafurahisha genge tu !usiombee usaliti wa mwanaume
Najaribu kuwaza kwa sauti labda yamemfika
Madame S
Najaribu kuwaza kwa sauti labda yamemfika
Madame S
Sawa Mama Ila Ukiniacha Juakuwa Ntakufa Nawewe.........and the viceversa is true!
Sawa Mama Ila Ukiniacha Juakuwa Ntakufa Nawewe
Suala la Kusalitiwa na kupelekea kujinyonga, kijiua kisa mapenzi kivyovyote linatokana na kumwamini sana mwanamke. Usijaribu kabisa kufanya hivyo.
Mwanamke Haaminiki, anaweza pewa pesa, Mashine kuuchezea vilivyo na kupewa Huduma za kumridhisha lakini bado akakusaliti. Trust non in love affairs.
Kujijengea mazingira ya kutomwamini sana mpenzi wako itakupunguzia kuhamaki na Kuchukua Maamuzi yasiyo na tija pindi Ikitokea kukusaliti.
Sijawahi kumwamini mwanamke katika mahusiano hata ya Huko awali na yeyote sitomwamini japo ninampenda.
Kwhyo Hutaki Ndoto Itimie Atiii? Au Bado Unakula Ujana Tu Mrs Airunapenda ndoto eh?
Kwhyo Hutaki Ndoto Itimie Atiii? Au Bado Unakula Ujana Tu Mrs Air