Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 24,856
- 89,755
Hahahaah sauti ichujwe sanaaSauti uilete tutiformat tu....
Hahahaah sauti ichujwe sanaaSauti uilete tutiformat tu....
Hizo ni fikra Mfu Sana, lengo ni kuepusha wanaume kuingia mazima ama miguu miwili kumpenda mwanamke then wakisalitiwa wanajiua. Wajue tu kuwa mwanamke Haaminiki na si jamaa yako mna undugu wa kitandani muda wowote unakufa huo undugu. So wasifikie hatua ya kijiua kisa Kusalitiwa.
Hizo ni fikra Mfu Sana, lengo ni kuepusha wanaume kuingia mazima ama miguu miwili kumpenda mwanamke then wakisalitiwa wanajiua. Wajue tu kuwa mwanamke Haaminiki na si jamaa yako mna undugu wa kitandani muda wowote unakufa huo undugu. So wasifikie hatua ya kijiua kisa Kusalitiwa.
Mwanamke kama maji babu.....
kwangu mwanamke ni kama simu au kitu chochote chenye manufaa nitumiacho..namtumia kukata ashki na kuzalia watoto,kupenda ni matatizo ya kisaikolojia ambayo mtu hujianzishia mwenyeweDah, Waheshimuni Wanawake aiseee, Acheni upuuzi wenu. Thamani ya Mwanamke ni kubwa Sana Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kila aliefanikiwa maishani hakuwahi kumwamini mwanamke kamweSuala la Kusalitiwa na kupelekea kujinyonga, kijiua kisa mapenzi kivyovyote linatokana na kumwamini sana mwanamke. Usijaribu kabisa kufanya hivyo.
Mwanamke Haaminiki, anaweza pewa pesa, Mashine kuuchezea vilivyo na kupewa Huduma za kumridhisha lakini bado akakusaliti. Trust non in love affairs.
Kujijengea mazingira ya kutomwamini sana mpenzi wako itakupunguzia kuhamaki na Kuchukua Maamuzi yasiyo na tija pindi Ikitokea kukusaliti.
Sijawahi kumwamini mwanamke katika mahusiano hata ya Huko awali na yeyote sitomwamini japo ninampenda.
Ukimpenda Sana ni tatizo, na usipompenda sana pia tatizo so bora lipi?
Thamani ya mwamke kubwa sanaaDah, Waheshimuni Wanawake aiseee, Acheni upuuzi wenu. Thamani ya Mwanamke ni kubwa Sana Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mwanaume aliumbiwa mke mmojaMtoa mada uaminifu na mapenzi ni mambo yanayienda sambamba
Huwezi kumpenda mtu bila kupitia stage ya kumuamini
Mbona wapo pia wanaume wanapewa huduma stahiki na wanawake zao na still wanasaliti? Hilo hujaliona sio? Tuache tupumue jamani!
Madame S
Hata baba yako katu hakumwamini mama yakoSuala la Kusalitiwa na kupelekea kujinyonga, kijiua kisa mapenzi kivyovyote linatokana na kumwamini sana mwanamke. Usijaribu kabisa kufanya hivyo.
Mwanamke Haaminiki, anaweza pewa pesa, Mashine kuuchezea vilivyo na kupewa Huduma za kumridhisha lakini bado akakusaliti. Trust non in love affairs.
Kujijengea mazingira ya kutomwamini sana mpenzi wako itakupunguzia kuhamaki na Kuchukua Maamuzi yasiyo na tija pindi Ikitokea kukusaliti.
Sijawahi kumwamini mwanamke katika mahusiano hata ya Huko awali na yeyote sitomwamini japo ninampenda.
Ukimpenda Sana ni tatizo, na usipompenda sana pia tatizo so bora lipi?
Inabidi nijifunze kupenda wastani.Water is colorless, mwanamke hapendeki. akipendwa sana tatizo asipopendwa sana pia tatizo.
Hakika kwa mtazamo huu, itakuwa ni ngumu sana kwako kufanikiwa ktk nyanja ya mapenzi.Sijawahi kumwamini mwanamke katika mahusiano hata ya Huko awali na yeyote sitomwamini japo ninampenda.
Ukimpenda Sana ni tatizo, na usipompenda sana pia tatizo so bora lipi?
Nitakunywa hata maji ya madafuMwanamke kama maji, usipoyaoga utayanywa
Mwanamke kama maji, usipoyaoga utayanywa
Mwanamke anawika 20 to 37..baada ya hapo ni kama dekio tuSuala la Kusalitiwa na kupelekea kujinyonga, kijiua kisa mapenzi kivyovyote linatokana na kumwamini sana mwanamke. Usijaribu kabisa kufanya hivyo.
Mwanamke Haaminiki, anaweza pewa pesa, Mashine kuuchezea vilivyo na kupewa Huduma za kumridhisha lakini bado akakusaliti. Trust non in love affairs.
Kujijengea mazingira ya kutomwamini sana mpenzi wako itakupunguzia kuhamaki na Kuchukua Maamuzi yasiyo na tija pindi Ikitokea kukusaliti.
Sijawahi kumwamini mwanamke katika mahusiano hata ya Huko awali na yeyote sitomwamini japo ninampenda.
Ukimpenda Sana ni tatizo, na usipompenda sana pia tatizo so bora lipi?
