Mpende mwanamke lakini usimwamini katu!

Mpende mwanamke lakini usimwamini katu!

Hizo ni fikra Mfu Sana, lengo ni kuepusha wanaume kuingia mazima ama miguu miwili kumpenda mwanamke then wakisalitiwa wanajiua. Wajue tu kuwa mwanamke Haaminiki na si jamaa yako mna undugu wa kitandani muda wowote unakufa huo undugu. So wasifikie hatua ya kijiua kisa Kusalitiwa.


Kwa hiyo na sisi tuwachukulie hivi..
 
Hizo ni fikra Mfu Sana, lengo ni kuepusha wanaume kuingia mazima ama miguu miwili kumpenda mwanamke then wakisalitiwa wanajiua. Wajue tu kuwa mwanamke Haaminiki na si jamaa yako mna undugu wa kitandani muda wowote unakufa huo undugu. So wasifikie hatua ya kijiua kisa Kusalitiwa.

Sio fikra mfu ndio dalili zenyewe hizo unafikiri hao walianza vuguvugu LA kuhalalisha ndoa za jinsia moja walianza kwa kuona mabaya kuhusu jinsia ya pili.
 
Suala la Kusalitiwa na kupelekea kujinyonga, kijiua kisa mapenzi kivyovyote linatokana na kumwamini sana mwanamke. Usijaribu kabisa kufanya hivyo.
Mwanamke Haaminiki, anaweza pewa pesa, Mashine kuuchezea vilivyo na kupewa Huduma za kumridhisha lakini bado akakusaliti. Trust non in love affairs.
Kujijengea mazingira ya kutomwamini sana mpenzi wako itakupunguzia kuhamaki na Kuchukua Maamuzi yasiyo na tija pindi Ikitokea kukusaliti.

Sijawahi kumwamini mwanamke katika mahusiano hata ya Huko awali na yeyote sitomwamini japo ninampenda.
Ukimpenda Sana ni tatizo, na usipompenda sana pia tatizo so bora lipi?
Na kila aliefanikiwa maishani hakuwahi kumwamini mwanamke kamwe

Kila alie mwamini mwanamke duniani alifeli pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada uaminifu na mapenzi ni mambo yanayienda sambamba

Huwezi kumpenda mtu bila kupitia stage ya kumuamini

Mbona wapo pia wanaume wanapewa huduma stahiki na wanawake zao na still wanasaliti? Hilo hujaliona sio? Tuache tupumue jamani!

Madame S
Kwani mwanaume aliumbiwa mke mmoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Suala la Kusalitiwa na kupelekea kujinyonga, kijiua kisa mapenzi kivyovyote linatokana na kumwamini sana mwanamke. Usijaribu kabisa kufanya hivyo.
Mwanamke Haaminiki, anaweza pewa pesa, Mashine kuuchezea vilivyo na kupewa Huduma za kumridhisha lakini bado akakusaliti. Trust non in love affairs.
Kujijengea mazingira ya kutomwamini sana mpenzi wako itakupunguzia kuhamaki na Kuchukua Maamuzi yasiyo na tija pindi Ikitokea kukusaliti.

Sijawahi kumwamini mwanamke katika mahusiano hata ya Huko awali na yeyote sitomwamini japo ninampenda.
Ukimpenda Sana ni tatizo, na usipompenda sana pia tatizo so bora lipi?
Hata baba yako katu hakumwamini mama yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi kumwamini mwanamke katika mahusiano hata ya Huko awali na yeyote sitomwamini japo ninampenda.
Ukimpenda Sana ni tatizo, na usipompenda sana pia tatizo so bora lipi?
Hakika kwa mtazamo huu, itakuwa ni ngumu sana kwako kufanikiwa ktk nyanja ya mapenzi.
 
ab9f34ebbe08b552f9f0349e60ece87a.jpg
 
Suala la Kusalitiwa na kupelekea kujinyonga, kijiua kisa mapenzi kivyovyote linatokana na kumwamini sana mwanamke. Usijaribu kabisa kufanya hivyo.
Mwanamke Haaminiki, anaweza pewa pesa, Mashine kuuchezea vilivyo na kupewa Huduma za kumridhisha lakini bado akakusaliti. Trust non in love affairs.
Kujijengea mazingira ya kutomwamini sana mpenzi wako itakupunguzia kuhamaki na Kuchukua Maamuzi yasiyo na tija pindi Ikitokea kukusaliti.

Sijawahi kumwamini mwanamke katika mahusiano hata ya Huko awali na yeyote sitomwamini japo ninampenda.
Ukimpenda Sana ni tatizo, na usipompenda sana pia tatizo so bora lipi?
Mwanamke anawika 20 to 37..baada ya hapo ni kama dekio tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom