Mpelekee yule dada bia . . .

Mpelekee yule dada bia . . .

Mwanamke akiwa peke yake asiingie bar ili asidhaniwe anategesha?

Hapana, simaanishi hivyo. Pesa si pesa zake bana, sasa kama anazo kwa nini naye asiingie kwa lengo la kuburudika tu? Na aingie tu.

Ninachozungumzia ni perception. Na perception mara nyingi huwa hazitoki tu out of nowhere. Zina genesis zake na moja ya genesis za hizo perceptions za wadada kuketi kwenye baa peke yao ni wale wadada wauza sukari ambao nao hupenda sana kwenda kutegesha kwenye mabaa as opposed kusimama barabarani.

Sasa, fairly or unfairly, hawa wagawa sukari huharibu sifa za wanawake wengi hasa kwenye muktadha wa viota vya burudani.
 
Nyani Ngabu, hii perception ipo kweli na inaudhi.
Sometimes mtu unajisahau kama perception hii bado ipo unaenda mahali kupumzimka.

Kuwa mwanamke dunia hii ya tatu kazi sana.
 
Last edited by a moderator:
Nyani Ngabu, hii perception ipo kweli na inaudhi.
Sometimes mtu unajisahau kama perception hii bado ipo unaenda mahali kupumzimka.

Kuwa mwanamke dunia hii ya tatu kazi sana.

Kweli kabisa. Kuwa mwanamke kwenye ulimwengu wa tatu ni kazi. Unaweza kubakwa katikati ya mji in broad daylight na asitokee hata hero mmoja kukuokoa kisa tu umejitakia mwenyewe kwa kuvaa nguo iliyo revealing.

It's too bad and too sad!
 
Yaani shida tupu.

Mie sikujua kama kubakwa mwanamke ni kosa, nilizoea kuona msichana kabakwa afu mwanamme anaenda kutoa posa na kumuoa.sijui hao wadada walikuwa wanaolewa kwa kupenda ama kuficha aibu ilowapata?

Nimekuja gundua ni kosa nikiwa mkubwa mno.

Kweli kabisa. Kuwa mwanamke kwenye ulimwengu wa tatu ni kazi. Unaweza kubakwa katikati ya mji in broad daylight na asitokee hata hero mmoja kukuokoa kisa tu umejitakia mwenyewe kwa kuvaa nguo iliyo revealing.

It's too bad and too sad!
 
Yaani shida tupu.

Mie sikujua kama kubakwa mwanamke ni kosa, nilizoea kuona msichana kabakwa afu mwanamme anaenda kutoa posa na kumuoa.sijui hao wadada walikuwa wanaolewa kwa kupenda ama kuficha aibu ilowapata?

Nimekuja gundua ni kosa nikiwa mkubwa mno.

Nilifikiri ndo masculine culture unazo zipenda? lol
 
Mi sijawahi pewa ofa kama hiyo. Labda hizo ni tabia za Dar, huku Tanga hamna hizo.

Mwali nadhani labda wewe sio mwendaji wa bar kwani wenzako wanaenda bar na pesa ya bia moja tu ila nasi kwa kujigonga tunawaagizia!
 
Last edited by a moderator:
Tatizo mkiletewa offer hamkatai
ukishakubali offer unaonyesha acceptance tayari mtoa offer anajua amekubaliwa
siku nyingine unamtoa nduki mhudumu ili jamaa ajue hajakubaliwa...
 
ishawahi tokea, jamaa kachungulia kakuta mabinti wanachapa soda kapiga mahesabu, kaona hata wakinywa kumi kumi thirty haifiki, katuma waiter awahudumie kuja kuomba bill, inasoma five figures!!! mabint waliswap heigken kwa soda!

Hiyo ku-swap heinken kwa soda ndio naisikia
 
Umenikumbusha wimbo wa wazee wa ngwasuma
'
Heshima ya Mwanamke
'
Sio kila mwanamke akiingia baa ni . . . . . . . . . !!!!
'
Lakini Madam Kongosho nikiuita achilia mbali kukudhania,kuwa wewe mwizi halafu ukawa sio mwizi,kuna kitu gani kinakukereketa?
 
Last edited by a moderator:
Mtu kudhani mie mwizi wakati sio mwizii sio tatizo.

Tatizo linakuja pale mtu anadhani mie mwizi afu anakuja niambia usoni mie mwizi. Namwona anafanya uchokozi wa makusudi.

Mtu kudhani nwanamke anayeenda bar anatega sio tatizo, tatizo ni anapoanza hizo ofa.

Umenikumbusha wimbo wa wazee wa ngwasuma
'
Heshima ya Mwanamke
'
Sio kila mwanamke akiingia baa ni . . . . . . . . . !!!!
'
Lakini Madam Kongosho nikiuita achilia mbali kukudhania,kuwa wewe mwizi halafu ukawa sio mwizi,kuna kitu gani kinakukereketa?
 
Last edited by a moderator:
Mtu kudhani mie mwizi wakati sio mwizii sio tatizo.

Tatizo linakuja pale mtu anadhani mie mwizi afu anakuja niambia usoni mie mwizi. Namwona anafanya uchokozi wa makusudi.

Mtu kudhani nwanamke anayeenda bar anatega sio tatizo, tatizo ni anapoanza hizo ofa.

Kongosho wa sasa si kama yule wa zamani.. ashukuriwe Zombie
 
Last edited by a moderator:
Unacheka wakati mie nataka kufanya asasinesheni?

teh teh teh....hujipendi cha mno nini kufia jela? Kampe ngumi za uso tu....ila sasa na wewe kulikoni?? Bar bia inapendeza na kampani
 
Nashangaa kwa nguvu tu

Kwani nini mwanamke akiwa peke yake maeneo ya kuburudika utasikia 'mpelekee yule dada bia'

Bila kujali unakunywa juisi/soda/maji, tena kuna wakati hata hajamaliza kuagiza atakacho anapewa ofa ya bia.

Na hawa ma maweita wanaokubali kutumwa kusema 'nimeambiwa nikuletee bia' hawafundishwi kastama kea? Wamiiliki linawahusu hili.

Na nyie baadhi ya wanamme, ni nini? Kwa nini hamuwaachi wanawake na mambo yao?

Akyamama sheria ya umiliki wa silaha ya TZ inasemaje? Maana itahusika muda si mrefu.

Ni taarifa na tahadhari, maana kuna watu ntawafanya wajane au yatima soon kwa kurestisha in peace baba zao.

ina maana we ndo unajua sana au,kama hutaki ofa si ukatae huko huko bar,usikute unatamani sana hizo ofa ila hupewi,usijifanye mwema ili upate mume jf kama ni gume gume basi utabaki hivyo tu,tena nna mashaka kama nguo yako ya ndani ni safi(kama umevaa lakini)
 
ina maana we ndo unajua sana au,kama hutaki ofa si ukatae huko huko bar,usikute unatamani sana hizo ofa ila hupewi,usijifanye mwema ili upate mume jf kama ni gume gume basi utabaki hivyo tu,tena nna mashaka kama nguo yako ya ndani ni safi(kama umevaa lakini)
taratibu weeeee!
unakuja vup vup na kuanza kutukana watu!
wa wapi we weee!
hebu jishangae mwili mzima!
 
hiyo hali haijawahi kunikuta na naomba isinikute......
kwenda bar peke yangu? no ways......
hata kama nakutana na watu na ikatokea mimi nimewahi kufika sitoki kwenye gari mpaka wafike. siwezi kabisa kukaa bar peke yangu, sijui kwa nini
Hahahahah mkweeeeeee kumbe mkwe una garrrr? Gaaary yako gary gani vile? Pole yangu na baisko yangu. Ngoja nikaze buti LOL
 
ina maana we ndo unajua sana au,kama hutaki ofa si ukatae huko huko bar,usikute unatamani sana hizo ofa ila hupewi,usijifanye mwema ili upate mume jf kama ni gume gume basi utabaki hivyo tu,tena nna mashaka kama nguo yako ya ndani ni safi(kama umevaa lakini)
We ni He au She? Mbona mipasho kama Khadija Kopa?
 
Hahahahah mkweeeeeee kumbe mkwe una garrrr? Gaaary yako gary gani vile? Pole yangu na baisko yangu. Ngoja nikaze buti LOL
tunayo ndiyo babu, ya ukoo.....
duet, unazijua?
wenzenu tuliona gari ni muhimu sana, kwa vile kila mtu hakuwa na uwezo wa kununua lake tukaamua kuchangishana ukoo mzima tukapata hilo ili litusaidie kama kunatokea emergency... ila ukiwa na mtoko unaruhusiwa kuazima kwa masharti ya kuweka mafuta tu
 
Back
Top Bottom