Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,106
hiyo hali haijawahi kunikuta na naomba isinikute......
kwenda bar peke yangu? no ways......
hata kama nakutana na watu na ikatokea mimi nimewahi kufika sitoki kwenye gari mpaka wafike. siwezi kabisa kukaa bar peke yangu, sijui kwa nini
Wewe uliyekwenda na gari binafsi utafanya hvyo wakati unawasubiri hao ambao una miadi nao. Vp kuhusu yule anayetumia daladala?