Mpelekee yule dada bia . . .

Mpelekee yule dada bia . . .

Madam,
'
Mwanamke anabebeshwa masaibu yepi ya mwanaume?
'
Hivi ulishaona mtu aliyekunywa kilevi akaukontrol mwili au tamaa?
'
Hapa kitakua kama kile kichekesho cha mwendawazimu na mwenye akili timamu
'
Mwendawazimu kamkuta mwenye akili anaoga mtoni,akachukua nguo zake akakimbia nazo
'
Mwenye akili timam akaanza kumfukuza akiwa uchi,wapita njia wakadhani alie uchi ndo mwenye matatizo ya akili
'
Wakamkamata wakamfunga kamba!
'
Hapa mwenye utimam wa akili alitakiwa atumie busara na sio kufukuzana na kichaa barabarani
'
Madam,tupo pamoja?
 
Eiyer, kwa hiyo mwanamke alipie makosa ya mlevi kushindwa kuji-control?

Hivi ulevi ni ulemavu wa akili?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom