Mpelekee yule dada bia . . .

Mpelekee yule dada bia . . .

Yaani mie mtu akiniagizia bia anayaamsha maruhani, sijui kwa nini huwa nachukia to the maximum.

Anyway, sijui naitafsiri vipi.

wanaume tuna moyo wa upendo katika kugawa bia kongosho hasa kwa wanawake hivyo usikasirike unapopewa offer pokea tu haina mbaya
 
Hivi bar hakuna vinywaji visivyo na kilevi?

Hata kama, siruhusiwi kaa bar. Nikala tu bila kuonja bia?

Hata kama nakunywa bia, kwani lazima niewe ofa? Si niachwe nijinunulie mwenyewe?

Sasa bar umefuata nini kama wewe hunywi bia?bar hawauzi chai.bia ni gea tuu ya kukuingia ili utongozwe ukiikubali kitakachofuata unajua mwenyewe!ni sawa na unapotoa rushwa unasema chukua soda hiyo huku unatoa pesa
 
hahahaha! Full kukukomoa, ulikaa kipapaa zaidi nini?
kipapaa gani? tulikuwa kikawaida tu....
halafu familia tunayoifahamu siyo hiyo ya Kongosho ya kumpelekea mdada utasema anataka kukukomoa.....
halafu watoto wameagiziwa bavaria na wazazi wao maana wao walikuwa wanacheza zao huko maana ni wadogo
anyway, siku nyingine tukiwakuta tutawasalimu tu na kuwaacha waendelee na mifuko yao.
 
Last edited by a moderator:
He h he, hata mie ukininunualia wewe nakuunywa bavaria au redbull
Bahati haiji mara 2

ha ha haaaa, lol! ngoja nicheke kwanza. Kongosho, mimi nimejifunza kumwambia waiter pelekea yule kinywaji anachokunywa...
Obvious huwezi mwagizia mtu kinywaji cha kwanza, lazima atakuwa anakunywa then namwongezea.
Kuna siku tulienda sehemu tukakuta familia ipo, mume, mke, watoto.......
baba anakunywa bia, mama na watoto wanakunywa soda......
tukamwambia waiter awapelekee kinywaji.....
cha ajabu walibadilisha vinywaji, sijui ndo kukomoa au vipi.....
mama na watoto wakahamia kwenye bavaria........ nikajishangalia tu watoto WANAONJESHWA bavaria sababu ya offer, lol!
 
Last edited by a moderator:
Nashangaa kwa nguvu tu

Kwani nini mwanamke akiwa peke yake maeneo ya kuburudika utasikia 'mpelekee yule dada bia'

Bila kujali unakunywa juisi/soda/maji, tena kuna wakati hata hajamaliza kuagiza atakacho anapewa ofa ya bia.

Na hawa ma maweita wanaokubali kutumwa kusema 'nimeambiwa nikuletee bia' hawafundishwi kastama kea? Wamiiliki linawahusu hili.

Na nyie baadhi ya wanamme, ni nini? Kwa nini hamuwaachi wanawake na mambo yao?

Akyamama sheria ya umiliki wa silaha ya TZ inasemaje? Maana itahusika muda si mrefu.

Ni taarifa na tahadhari, maana kuna watu ntawafanya wajane au yatima soon kwa kurestisha in peace baba zao.

Hii inamuhusu sana Smile
 
Last edited by a moderator:
Si kila avaaye sketi ni mwanamke ujue?

Mtakavyofika huko ukaombwa vaseline hakuna kulia.

Bwana mkubwa Kongosho, hii inaonyesha ni jinsi gani wanaume wa Tanzania walivyo wakarimu. Naomba pia uwaombe wadada nao wawe na ukarimu unaofanana huu wa kutoa bila kusubiri kuombwa


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Yaani mie mtu akiniagizia bia anayaamsha maruhani, sijui kwa nini huwa nachukia to the maximum.

Anyway, sijui naitafsiri vipi.

lazima utakuwa kuna kitu unatafsiri.. Eidha wanakuona, huna hela, unauza sura au unataka kampani.. Kumbe mwenzio walaaa hunawazo hilo kabisaa.
 
Ha ha ha, inamhusu ke yeyote.

Kuna siku unajikuta unataka kukaa mahali peke yako unywe upendacho bila kuongeleshwa na mtu.

Utafakari na kutafakuri maisha, unakutana na viofa vya bia, inadisturb meditation yote.

Hii inamuhusu sana Smile
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaa nicheke mie...lol
mpenzi ,Kongosho, elewa siku zote wanaume ni watu wa kujipendekeza esp kwa mwanamke.. Apo ukute kwake wakati wa kutoka walett aliirusha nyuma ya nyumba kwanza af akaizungukia..
So akisema u can kataa au kubali inadepend..na akisema specifically biere wkt hunywi...we kama unataka ofa agiza unachotaka tena cha bei ghali umkomoe.thats it
kama hutaki bas mwambie no thank u
 
Hivi bar hakuna vinywaji visivyo na kilevi?

Hata kama, siruhusiwi kaa bar. Nikala tu bila kuonja bia?

Hata kama nakunywa bia, kwani lazima niewe ofa? Si niachwe nijinunulie mwenyewe?

sikunyingine wakikupa ofa mwambie barmade azinywe uone kama ataleta tena
 
Ha ha ha, inamhusu ke yeyote.

Kuna siku unajikuta unataka kukaa mahali peke yako unywe upendacho bila kuongeleshwa na mtu.

Utafakari na kutafakuri maisha, unakutana na viofa vya bia, inadisturb meditation yote.
hiyo hali haijawahi kunikuta na naomba isinikute......
kwenda bar peke yangu? no ways......
hata kama nakutana na watu na ikatokea mimi nimewahi kufika sitoki kwenye gari mpaka wafike. siwezi kabisa kukaa bar peke yangu, sijui kwa nini
 
Mie naona kupokea ni ku-abusi my inteligensi.

Bia moja haizidi elfu tano, kwa mwezi unaingiza sh.ngapi?

kemea hiyo roho ya kichoyo inataka kukuingia rafiki samahan lakin,kumpa au kupewa kitu na mtu licha ya bia ndio ki ugwana kwa kuwa muugwana ni vitendo. na haijalishi unatake home bei gani.kutoa ni moyo ila usijilazimishe kama huna kwa kuwa unapata dhabi (ujinga).. sasa basi wangu,kuilinda hiyo inteligensi yako amekupa bia moja we mpe tatu ndo uugwana huo
 
Mi sijawahi pewa ofa kama hiyo. Labda hizo ni tabia za Dar, huku Tanga hamna hizo.

Mmmh wewe Mwali Mwali upo jamani,siku nyingi sijakusikia,weekend inasemaje pande hizo za Tanga?Tanga ofa naamini zipo pia jamani,lol!
 
Hahahahahahahahah
huo ni upendo wa dhati na ukarimu wa wanaume! Lakini huwa si lazima unaweza kukataa offer!


Nashangaa kwa nguvu tu

Kwani nini mwanamke akiwa peke yake maeneo ya kuburudika utasikia 'mpelekee yule dada bia'

Bila kujali unakunywa juisi/soda/maji, tena kuna wakati hata hajamaliza kuagiza atakacho anapewa ofa ya bia.

Na hawa ma maweita wanaokubali kutumwa kusema 'nimeambiwa nikuletee bia' hawafundishwi kastama kea? Wamiiliki linawahusu hili.

Na nyie baadhi ya wanamme, ni nini? Kwa nini hamuwaachi wanawake na mambo yao?

Akyamama sheria ya umiliki wa silaha ya TZ inasemaje? Maana itahusika muda si mrefu.

Ni taarifa na tahadhari, maana kuna watu ntawafanya wajane au yatima soon kwa kurestisha in peace baba zao.
 
Siruhusiwi kwenda bar alone?

Na sura ya njaa ikoje?

si sahihi mwanamke kwenda bar mwenyewe.. taswira nyepesi inayojengeka anaoneka ana uza..
na vile uko mwenyewe lazima ukubali usumbufu
 
Nashangaa kwa nguvu tu

Kwani nini mwanamke akiwa peke yake maeneo ya kuburudika utasikia 'mpelekee yule dada bia'

Bila kujali unakunywa juisi/soda/maji, tena kuna wakati hata hajamaliza kuagiza atakacho anapewa ofa ya bia.

Na hawa ma maweita wanaokubali kutumwa kusema 'nimeambiwa nikuletee bia' hawafundishwi kastama kea? Wamiiliki linawahusu hili.

Na nyie baadhi ya wanamme, ni nini? Kwa nini hamuwaachi wanawake na mambo yao?

Akyamama sheria ya umiliki wa silaha ya TZ inasemaje? Maana itahusika muda si mrefu.

Ni taarifa na tahadhari, maana kuna watu ntawafanya wajane au yatima soon kwa kurestisha in peace baba zao.

Mmmh Kongosho mwanike, ukiona unapewa ofa ya bia ujue unalipa bwana,sio wote wanaopewa hizo ofa..........Mmmmh hebu ngoja kwanza hapa karibu yangu kuna meza mdada yuko alone ngoja nitoe ofa kwanza nakuja,lol!
 
hiyo hali haijawahi kunikuta na naomba isinikute......
kwenda bar peke yangu? no ways......
hata kama nakutana na watu na ikatokea mimi nimewahi kufika sitoki kwenye gari mpaka wafike. siwezi kabisa kukaa bar peke yangu, sijui kwa nini

me mwenyewe huwa sitoki peke yangu.. Na hiyo hali yakuagiziwa vinywaji hutokea endapo mpo girls tupu lakini kama upo na kidume hawathubutu
 
Back
Top Bottom