Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,987
- 24,226
- Thread starter
- #21
Yaani mie mtu akiniagizia bia anayaamsha maruhani, sijui kwa nini huwa nachukia to the maximum.
Anyway, sijui naitafsiri vipi.
Anyway, sijui naitafsiri vipi.
wanaume tuna moyo wa upendo katika kugawa bia kongosho hasa kwa wanawake hivyo usikasirike unapopewa offer pokea tu haina mbaya