mtoto wa mchungaji
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 279
- 480
Akiongea na vijana wa UVCCM Pemba leo mama amewatahadharisha vijana kukataa kutumika na watu wenye nia ovu ndani ya chama wanaotaka kukipasua chama vipande vipande.
Vijana hao ambao wamekunywa na kugida maji ya bendera walionyesha kumuelewa mama huku wakisikiliza kwa hisia kubwa hotuba hiyo na wakati mwingine wakimkatiza mama na kuanza kuimba kuwa TUNAIMANIII NA MAMAAA OYAA OYAAA.
Mnaweza changia.
================
Rais Samia Suluhu: La pili kwenu vijana ni mpasuko ndani ya chama, naomba msitoe fursa, msitoe fursa kutumiwa kukipasua chama. Jeuri yenu, makidai yenu, kwenda kwenu kifua mbele kwasababu chama kiko imara. Mtakapokipasua vipande vipande hamtafanya haya mliyoyafanya leo.
Kwahiyo niwaombe sana, nendeni mkaimarishe chama chenu, kaimarisheni jumuiya yenu, vijana msitumike vibaya.
Vijana hao ambao wamekunywa na kugida maji ya bendera walionyesha kumuelewa mama huku wakisikiliza kwa hisia kubwa hotuba hiyo na wakati mwingine wakimkatiza mama na kuanza kuimba kuwa TUNAIMANIII NA MAMAAA OYAA OYAAA.
Mnaweza changia.
================
Rais Samia Suluhu: La pili kwenu vijana ni mpasuko ndani ya chama, naomba msitoe fursa, msitoe fursa kutumiwa kukipasua chama. Jeuri yenu, makidai yenu, kwenda kwenu kifua mbele kwasababu chama kiko imara. Mtakapokipasua vipande vipande hamtafanya haya mliyoyafanya leo.
Kwahiyo niwaombe sana, nendeni mkaimarishe chama chenu, kaimarisheni jumuiya yenu, vijana msitumike vibaya.