Mpasuko Chadema


Naona umesha jijibu mwenyewe, na mie sina la zaidi kwa hilo, umekubali kabisa matokeo na huo ndio msingi mzuri.
 
Heshima kuu kwako pia ngongo,uhuru tunajua gazet la ccm,na tanzania daima linamilikiwa nanani?nisaidie mkuu.
 

Kisha nasi Wanachadema tukaona kuwa wewe ni kibaraka wa wahujumu uchumi na wajaza matumbo na warafi, macoward, majuha WanaCCM!
Teh teh teh teh
halafu nikaona kuwa ujira wako katika kueneza madudu haya kwa cc Magreat Thinkers ni mdogo sana tena chini ya dollar1,
halafu nikaona kuwa mwisho wenu umekaribia na kwataarifa yako end of diz mess those whom u blags to be with they r going to flee the BongoLand n leave u here with nothing coz inavyoelekea hujishughulishi kujikwamua mwenyewe zaidi ya kueneza injiri za kishetani-kifisadi.
Tutakuchalaza bakora makalio yako zen tukutupe keko.
Eventually it will b end of your cowardship nyambafu!!!
 
Zomba,zomba,,,sielewi kwa nini unajaribu kupotosha ukweli kwa makusudi,,,hujui hata vyeo vya chadema Fundikira ni mwenyekiti wa baraza la wazee mkoa,na hakuna mwenyekiti wa wenyeviti,,hii inaonyesha jnsi usivyofikiri,,dhambi hii ya uongo haitakuacha,,,,Eee Mungu naomba uwasamehe maana hajui utendalo
 

Kaka Zomba wasikuseme sana mimi naendelea kukuombea hayo mapepo yakutoke maana sisi wana wa Mungu hatucheki wala kuwasema wagonjwa. Karibu pia kwenye ibada kanisani kwetu.
 
Kaka Zomba wasikuseme sana mimi naendelea kukuombea hayo mapepo yakutoke maana sisi wana wa Mungu hatucheki wala kuwasema wagonjwa. Karibu pia kwenye ibada kanisani kwetu.

Lipi hilo?lile alilokuwa anasalisha Slaa, kama hilo nytakuja maana huko kupora wake za watu ruksa!
 
ZoBAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA utapasuka msamba! Chadema si ya kufa leo hata kesho!!!!!!!!
 
kwani ni misiba mingapi ya chama cha mapinduzi haihudhuriwi na viongozi wote wawe wa kitaifa au hata wale wa ngazi za mikoa na wilaya? mimi nadhani unahitaji msaada kutoka kwa wataalam wa protocal maana unawahi sana kutumia neno mpasuko
 
Ccm at work.. Poleni sana hamtafanikiwa miaka hii..

Chadema mwendo mdundo...
 

Humu inaelekea tuna wapiga ramli wengi sana. Maana mtu anafikia kwenye conclusion nzito kwa vielelezo ambavyo ni weightless. Kweli kuna kazi, huenda hii inaashiria ni jinsi gani nchi yetu ina wapiga porojo wengi. Not worth to discuss.
 
natumaini uko radhi hata kwenda kwa YAHAYA ili tu uiue CDM, kazi kweli kweli
 

kuna watu bado hawaamini kabisa kwamba Watanzania sasa si mabwege tena.
 
Zomba, inaonekana wewe ni walee waliozaliwa kabla ya uhuru na kukulia chini ya tanu na ccm. Una mawazo ya kizee (yaliyopitwa) na wakati. Sasa strateji yako ya propaganda wakati huu wa utandawazi ni mbovu saaana na haitoweza kufanikiwa. Jaribu kutumia gia nyingine. Ni ushauri tu.
 

inawezekana kweli kuna mpasuko unaousema, lakini unapaswa kujua yafuatayo:-
1. Watu wengi ni wanafiki sana, angalia serikalini mambo yalivyo waziri anasema uongo na nijambo la kawaida, hata rais wanasema uongo watu wanakubali leo iweje CHADEMA kuwa na mpasuko? ndani yake kuna watu walioingia wanakiharibu chama na wengine huenda wananunuliwa kufanya hivyo. Angalia ilani ya CCM 2010-15 wanasema wamekuza uchumi kufika 6.7% 2010 wakati kunaripoti ya 2004 inasema uchumi ulikuwa hivyo 2004.
2. Tunaweza kusema mapungufu lakini si kwa mtazamo wa kufurahia bari kujengana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…