Dr. Slaa uwe mkweli kwa tukio la Mwanza kwani hata mie nilikuwepo silaha ilitolewa kutokana na purukushani za mjumbe mmoja kung'anga'ania kuingia kwenye kikao kisicho muhusu.
mzee acha uvivu,umbeya na ushabiki wa kijinga.'Wenje ashafafanua kilichotokea...hakuna aletishiwa na bastola!soma raia mwema la juzi j5!usiishie kwenye headline maana shida ya most of our journalists wengi mnaijua!Kwa taarifa yako mpasuko umeanzia mwanza , Wenje kamshikia mtu pisto Mbele ya Katibu wenu Mkuu huyo. Sasa sijui nani atasuluhisha wakati Wenje yuko upande wa Mbowe na ndiyo maana alimdharau SLAA na kuamua kutoa pisto.
Waberoya,Bravo comrade!
Huu ni ushauri mzuri sana. Hata hivyo naomba nitofautiane na wewe hapo unapomtaka Dr.slaa aanze kufanana na Morgan Tsavangirai(I hope unamaanisha huyu wa chama kikuu cha upinzani Zimbabwe-MDC).Tanzania na Africa haihitaji tena kiongozi wa upinzani au chama tawala wa aina ya Morgan Tsavangirai anyetumiwa na mabeberu kwa hasara za waafrika na kwa fauda za mabeberu.Hatuna kipya cha kujifunza kutoka kwa vibaraka wa aina hii,natambua siyo MDC yote imeoza kwa kuwa kuna wana halisi wa Africa kama akina Tendai Biti lakini please usimshauri Dr.Slaa au kiongozi yeyote ndani ya chadema kufanana na Morgan Tsavangirai
Hapo kwa Raila Amolo Odinga sawa,hatua tuliyofikia ku-deal na rogue party kama CCM we must resort to a militant politics...I hope unamaanisha hivi.Hapo sikupingi
Isipokuwa,Ushauri wa kutaka afanane na Morgan Tsavangirai adui wa Afrika na kibaraka asiye na Aibu(sorry,nimesema bila kujali itifaki za kidiplomasia) sikubaliani na ushauri huu mkuu.Hatutaki Tanzania iwe na transition itakayotuletea matunda hasi,we must focus on our people's interest and African continent at Large(Pan Africanism)
I cant beleive that you can actually say that we africans have a lot to learn from Europeans who invaded our continent, enslaved us, destroyed our continent, brainwashed us with religions that they themselves do not even believe in,destroyed our culture , replaced our indigenous languages(Hata mie ni mhanga wa hilo kwa kutumia lugha ya kigeni) with theirs and degraded and dehumanised us
Are these the type of people that you want to learn from? You want to learn from someone who hates you and continues to do everything on this planet to ensure that you remain as an inferior being.
Here are just a few atrocities that your European and American idols are currently comitting on the African continent
Mobilising a military force known as Africom in order to recolonise your entire continent overthrowing or assassinating any nationalist african leaders who try to mobilise the people against their puppets using debt slavery courtesy of the IMF and the world bank to reduce Africans to beggars in their own country arming, funding and training rebel groups to overthrow legitimate nationalist African leaders who refuse to hand over their economies to the IMF and world bank using their media to brainwash young Africans into accepting western cultural values and ideologies in order to neutralise any feelings of Nationalism and make them gullible docile zombies who accept western domination.
Using their media to make young Africans reject their own cultures, look down on their own people and aspire to be more like Europeans and Americans.Funding, arming and training BOTH SIDES in military conflicts in resource rich regions of Africa in order to:
plunge the entire country into chaos
Create an environment that will allow them to sneak in and keep stealing the resources in the midst of the chaos without any challenge facilitate mass genocide and population depletion of those areas the bottom line is they want to plunge the entire African continent into a state of chaos, war, famine, economic collapse in order to make it easier for them to make off with every valuable natural resource that the continent has UNCHALLENGED.
dah....nilishawaambia huyu jamaa atakuja kuwa janga kubwa hapa tanzania nikatukanwa.sasa true colours zake zinaonekana ni kama ghadafi tu.vijana wenye muono na mitaizamo kama anayoonyesha ben saanane dhidi ya viongozi wa vyama vingine vya upinzani hapa afrika ni uthibitisho kwamba haumini katika demokrasia.huwezi jua jinsi moragan alivyowapigania wazimbambwe kutoka kwa role model wako dikteta robert mugabe
una chuki kubwa sana dhidi ya wazungu na sijui ni kwa nini ulienda kusoma huko.cha ajabu elimu waliyokupa ndiyo unaitumia kuwatukana.ben umefikia hatua ya kudharau hata dini za watu waombe radhi watu.tanzania haiko tayari kuongozwa na radical leftists.tabia zako zinashabihiana sana yule malema wa south afrika aliyetaka makaburu wauwe.viongozi wa aina yenu ni janga kubwa huko mbele
Kwanza, lazima tuache ushabiki tu lazima tuangalie nini tunataka lakini Suala la kumtaka Mtu tu basi ni kana kwamba lazima awe yeye Rais litawacost Chama na itafikia mahali watu watashindwa kufanya maaamuzi Sahihi kwa sababu ya mapenzi ya kupitiliza na greediness
Hakuna Kosa Mbowe hata Zito kugombea Urais Kwani sina uhakika na Umri wa Dr ila napata tabu kuamini Kama miaka yake Itakua Sahihi kwa yeye kuendelea kushikilia lazima yeye awe mgombea.
Na nitashangaa Kama yeye mwenyewe Dr Slaa atakua bado anatamaa ya kua Rais na Kama Hilo lipo basi asishangae akapata tabu na pia atavunjiwa heshima na wakina Mbowe , Zito na Lissu Kwani kwa muono wangu watu Kama Tundu na Zitto Kwani wako Objective oriented than fanatical .
Na watu wengi tunaweza tukaona Kama vile wanahasi lakini kuna uwezekano mkubwa haya yakatokea Kwani michango inyoonekana kwa Tundu na Zitto inamashiko Zaidi kuliko ilivyo kwa Dr slaa na Mbowe.
Kwahiyo Kama tunashabikia Mtu Slaa anafaa lakini Kama tunataka uhalisia basi vijana wapewe nafasi......
Isije ikawa Kama Rais Abdealahi WADE
Tiba .......kama hawataelewana chadema inaweza kuwajenga vijana wapya kama John Mnyika na Zitto Kabwe kabla ya mwaka 2015.
Tamaa ya nani atakiwa kukibeba chama kwenda ikulu imeua vyama vingi sana
Mshauri mkuu wa chadema ndugu, Kitila Mkumbo alitembelea Uingereza katika miji ya London na Readings kuanzia tarehe 5 Machi na 6 Machi 2012 na kuondoka tarehe 10 Machi, 2012.
Miongoni mwa mambo aliyotueleza ni kuwepo kwa mpasuko wa nani anasitahiri kubeba/kupeperusha bendera ya chadema katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 kati ya Freeman Mbowe na Dk. Slaa. Mkumbo anasema kuna kambi mbili zinazopingana ndani ya chadema kuhusu suala hilo.
Wanaomuunga mkono Dk. Slaa wanasema kwamba ni mtu anayejua kujenga hoja, ana mvuto, wananchi wanamwamini kuliko Mbowe lakini pia kwamba Dk. Slaa alishinda uchaguzi mkuu wa 2010 kabla ya kuchakachuliwa. Kwa sababu hiyo akipewa nafasi tena 2015 na chadema ikisimamia vyema uchaguzi huo Dk. Slaa anaweza kuwa Rais ajaye.
Kambi ya mbowe inasema kwamba alitumia asilimia 72 ya pesa yake katika kufanikisha kampeni za uchaguzi wa mwaka 2010, wapo wanaodai chama kirudi mikononi mwa Mbowe kwa sababu hivi sasa ameimarika zaidi kwa ajili ya kugombea Urais katika uchaguzi mkuu ujao. My take: Kuendeleza huo mpasuko kutaisaidia ushindi wa CCM katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.
Wadau nimeleta kwenu tusaidiane namna ya kutafuta ufumbuzi wa mpasuko wa kambi mbili hizi ili chadema kiendelee kuwa chama kikuu cha upinzani na pengine kushika dola mwaka 2015. Source: Nilikuwa Uingereza miongoni mwa wafuasi wa chadema tuliohudhuria kikao cha kamanda wetu Kitila.
Mshauri mkuu wa chadema ndugu, Kitila Mkumbo alitembelea Uingereza katika miji ya London na Readings kuanzia tarehe 5 Machi na 6 Machi 2012 na kuondoka tarehe 10 Machi, 2012.
Miongoni mwa mambo aliyotueleza ni kuwepo kwa mpasuko wa nani anasitahiri kubeba/kupeperusha bendera ya chadema katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 kati ya Freeman Mbowe na Dk. Slaa. Mkumbo anasema kuna kambi mbili zinazopingana ndani ya chadema kuhusu suala hilo.
Wanaomuunga mkono Dk. Slaa wanasema kwamba ni mtu anayejua kujenga hoja, ana mvuto, wananchi wanamwamini kuliko Mbowe lakini pia kwamba Dk. Slaa alishinda uchaguzi mkuu wa 2010 kabla ya kuchakachuliwa. Kwa sababu hiyo akipewa nafasi tena 2015 na chadema ikisimamia vyema uchaguzi huo Dk. Slaa anaweza kuwa Rais ajaye.
Kambi ya mbowe inasema kwamba alitumia asilimia 72 ya pesa yake katika kufanikisha kampeni za uchaguzi wa mwaka 2010, wapo wanaodai chama kirudi mikononi mwa Mbowe kwa sababu hivi sasa ameimarika zaidi kwa ajili ya kugombea Urais katika uchaguzi mkuu ujao. My take: Kuendeleza huo mpasuko kutaisaidia ushindi wa CCM katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.
Wadau nimeleta kwenu tusaidiane namna ya kutafuta ufumbuzi wa mpasuko wa kambi mbili hizi ili chadema kiendelee kuwa chama kikuu cha upinzani na pengine kushika dola mwaka 2015. Source: Nilikuwa Uingereza miongoni mwa wafuasi wa chadema tuliohudhuria kikao cha kamanda wetu Kitila.
Nakumbushia ule ushahidi uliosema utauleta Jamvini bado?
Waberoya,Bravo comrade!
Huu ni ushauri mzuri sana. Hata hivyo naomba nitofautiane na wewe hapo unapomtaka Dr.slaa aanze kufanana na Morgan Tsavangirai(I hope unamaanisha huyu wa chama kikuu cha upinzani Zimbabwe-MDC).Tanzania na Africa haihitaji tena kiongozi wa upinzani au chama tawala wa aina ya Morgan Tsavangirai anyetumiwa na mabeberu kwa hasara za waafrika na kwa fauda za mabeberu.Hatuna kipya cha kujifunza kutoka kwa vibaraka wa aina hii,natambua siyo MDC yote imeoza kwa kuwa kuna wana halisi wa Africa kama akina Tendai Biti lakini please usimshauri Dr.Slaa au kiongozi yeyote ndani ya chadema kufanana na Morgan Tsavangirai
Hapo kwa Raila Amolo Odinga sawa,hatua tuliyofikia ku-deal na rogue party kama CCM we must resort to a militant politics...I hope unamaanisha hivi.Hapo sikupingi
Isipokuwa,Ushauri wa kutaka afanane na Morgan Tsavangirai adui wa Afrika na kibaraka asiye na Aibu(sorry,nimesema bila kujali itifaki za kidiplomasia) sikubaliani na ushauri huu mkuu.Hatutaki Tanzania iwe na transition itakayotuletea matunda hasi,we must focus on our people's interest and African continent at Large(Pan Africanism)
I cant beleive that you can actually say that we africans have a lot to learn from Europeans who invaded our continent, enslaved us, destroyed our continent, brainwashed us with religions that they themselves do not even believe in,destroyed our culture , replaced our indigenous languages(Hata mie ni mhanga wa hilo kwa kutumia lugha ya kigeni) with theirs and degraded and dehumanised us
Are these the type of people that you want to learn from? You want to learn from someone who hates you and continues to do everything on this planet to ensure that you remain as an inferior being.
Here are just a few atrocities that European and American idols(under the patron of some few African Puppets) are currently comitting on the African continent
Mobilising a military force known as Africom in order to recolonise your entire continent overthrowing or assassinating any nationalist african leaders who try to mobilise the people against their puppets using debt slavery courtesy of the IMF and the world bank to reduce Africans to beggars in their own country arming, funding and training rebel groups to overthrow legitimate nationalist African leaders who refuse to hand over their economies to the IMF and world bank using their media to brainwash young Africans into accepting western cultural values and ideologies in order to neutralise any feelings of Nationalism and make them gullible docile zombies who accept western domination.
Using their media to make young Africans reject their own cultures, look down on their own people and aspire to be more like Europeans and Americans.Funding, arming and training BOTH SIDES in military conflicts in resource rich regions of Africa in order to:
plunge the entire country into chaos
Create an environment that will allow them to sneak in and keep stealing the resources in the midst of the chaos without any challenge facilitate mass genocide and population depletion of those areas the bottom line is they want to plunge the entire African continent into a state of chaos, war, famine, economic collapse in order to make it easier for them to make off with every valuable natural resource that the continent has UNCHALLENGED.
Weka habari hiyo hapa kama alivyosema..Weka link!
Hiyo uliyoweka hapo juu hamna kitu maana toka jana tumeidiscuss na kuona ni utunzi na usanii wa mtu!
Waberoya,Bravo comrade!
Huu ni ushauri mzuri sana. Hata hivyo naomba nitofautiane na wewe hapo unapomtaka Dr.slaa aanze kufanana na Morgan Tsavangirai(I hope unamaanisha huyu wa chama kikuu cha upinzani Zimbabwe-MDC).Tanzania na Africa haihitaji tena kiongozi wa upinzani au chama tawala wa aina ya Morgan Tsavangirai anyetumiwa na mabeberu kwa hasara za waafrika na kwa fauda za mabeberu.Hatuna kipya cha kujifunza kutoka kwa vibaraka wa aina hii,natambua siyo MDC yote imeoza kwa kuwa kuna wana halisi wa Africa kama akina Tendai Biti lakini please usimshauri Dr.Slaa au kiongozi yeyote ndani ya chadema kufanana na Morgan Tsavangirai
Hapo kwa Raila Amolo Odinga sawa,hatua tuliyofikia ku-deal na rogue party kama CCM we must resort to a militant politics...I hope unamaanisha hivi.Hapo sikupingi
Isipokuwa,Ushauri wa kutaka afanane na Morgan Tsavangirai adui wa Afrika na kibaraka asiye na Aibu(sorry,nimesema bila kujali itifaki za kidiplomasia) sikubaliani na ushauri huu mkuu.Hatutaki Tanzania iwe na transition itakayotuletea matunda hasi,we must focus on our people's interest and African continent at Large(Pan Africanism)
I cant beleive that you can actually say that we africans have a lot to learn from Europeans who invaded our continent, enslaved us, destroyed our continent, brainwashed us with religions that they themselves do not even believe in,destroyed our culture , replaced our indigenous languages(Hata mie ni mhanga wa hilo kwa kutumia lugha ya kigeni) with theirs and degraded and dehumanised us
Are these the type of people that you want to learn from? You want to learn from someone who hates you and continues to do everything on this planet to ensure that you remain as an inferior being.
Here are just a few atrocities that European and American idols(under the patron of some few African Puppets) are currently comitting on the African continent
Mobilising a military force known as Africom in order to recolonise your entire continent overthrowing or assassinating any nationalist african leaders who try to mobilise the people against their puppets using debt slavery courtesy of the IMF and the world bank to reduce Africans to beggars in their own country arming, funding and training rebel groups to overthrow legitimate nationalist African leaders who refuse to hand over their economies to the IMF and world bank using their media to brainwash young Africans into accepting western cultural values and ideologies in order to neutralise any feelings of Nationalism and make them gullible docile zombies who accept western domination.
Using their media to make young Africans reject their own cultures, look down on their own people and aspire to be more like Europeans and Americans.Funding, arming and training BOTH SIDES in military conflicts in resource rich regions of Africa in order to:
plunge the entire country into chaos
Create an environment that will allow them to sneak in and keep stealing the resources in the midst of the chaos without any challenge facilitate mass genocide and population depletion of those areas the bottom line is they want to plunge the entire African continent into a state of chaos, war, famine, economic collapse in order to make it easier for them to make off with every valuable natural resource that the continent has UNCHALLENGED.
Una uhakika gani kwamba mshauri wa CHADEMA ameyasema hayo?
Huu sio mpasuko hata kidogo! Ni mawazo tofauti ya wadau wa CDM. Mwishowe atapatiakna mmoja. Ukiona hakuna anayetoa wazo tofauti, hapo kuna walakiniand most probably kuna elements za kukosa demokrasia. Watu lazima watofautiane katika mawazo, ila at the end wanafikia uamuzi wa wengi.
Na hiyo list yako, sidhani kama kunamtu ana ushawishi mkubwa kama Slaa alivyo. Kitila ni nani, watanzania wangapi wanamfahamu jamani!!! na wengine humo katika list yako
Mkuu mimi sitakulaumu sana wala hata kama Dr Kitila amesema hivyo pia sitashangaa maana hii haita kuwa mara ya kwanza CDM kuwa na "mpasuko" wa kugombea uongozi.
Kwa mara ya kwanza kabisa kwenye harakati za kugombea uenyekiti wa CDM, viongozi na wazee wa CDM walikuja na tafsiri mpya ya neno "mpasuko" kubaka demokrasia, hivyo basi nadhani ni sahihi pia kuita huu ni mpasuko
Katika hali ya kawaida huu huwezi kuita huu ni mpasuko, demokrasia maana yake ni ushindani wa haki wa kuchagua na kuchaguliwa.......kama hamna ushindani kwa baadhi tu ya watu kuamua fulani wa kuchaguliwa kunakuwa kunakiuka misingi ya demokrasia
Inawezekana sasa kwa nje mambo ni shwari, lakini huko ndani kwa wenye chama na wanao amua nani anafaa na wanao amua nani atoe jina ili kuepuka "mpasuko" sasa wako kwenye dilema waamue nani watamchagua kupeperusha bendera ya CDM hapo baadae
Lakini kama mambo yangekuwa wazi, ni swala la kuchukua form na michakato mingine kama kawaida sidhani kama kungekuwa na hisia hizi za mipasuko
Lakini kwa kawaida tunajua CDM kwenye nafasi ya ugombe uraisi huwa hakunaga kwere sana, na kuna sababu.......
Uhakika wa kuupata huo Urais ilikuwa ni kazi pevu
So kugombea urais kulikuwa kuna maanisha kukosa yote, yaani ubunge na urais kama ilivyokuwa kwa Dr ambaye "aliombwa" na aliposhindwa aliishia kupewa fidia kwa kupandishiwa mshahara na marupurupu kufikia mshahara wa ubunge aliokosa
Hivyo basi inawezekana upepo umebadilika, possibility ya kuukwaa upresident imekuwa kubwa na kupelekea kukawa na mshike mshike kuitaka nafasi hiyo na sio "kuombwa" tena.
Binafsi sipendi kutumia neno mpasuko kumaanisha mchuano au ushindani nk wa kugombea nafasi mbali mbali za uongozi, kama kweli Dr Slaa na Mbowe wanajiandalia mazingira ya kuitaka nafasi hiyo hii ndio demokrasia na si mpasuko, ingawa pia naona bado mapema sana, vinginevyo huu ni uzushi