Mpasuko CCM, Kingunge, Nchimbi na Mwandosya kutimka

Mpasuko CCM, Kingunge, Nchimbi na Mwandosya kutimka

Impact ya kingunge na mwqndosya ni ipi ktk siasa za sasa hivi,hao walishajichokea hawana jipya,huyi nchimbi mwenyewe hana jipya na asitegemee kulichukua jimbo la songea mjini alilijua hilo kwamba hawezi kupenya kura za maoni ndo maana akakataa kuchukua fomu
 
Nape amekwenda kujisalimisha mwenye ubunge baada ya kuona kila kitu kikiteleza
 
Impact ya kingunge na mwqndosya ni ipi ktk siasa za sasa hivi,hao walishajichokea hawana jipya,huyi nchimbi mwenyewe hana jipya na asitegemee kulichukua jimbo la songea mjini alilijua hilo kwamba hawezi kupenya kura za maoni ndo maana akakataa kuchukua fomu

Unauhakika na unalolisema?
 
nina uhakika nalo, kingunge alikuwa muasisi wa ccm mwenye kadi namba 8 iweje leo asiwepo ktk kamati ya maadili na sheria ya ccm!! maana yake ni kwamba hafai kabisa ht kuwepo ndani ya chama
 
Mwandosya amekua too vocal hizi wiki mbili, huwenda ana lake jambo..tusubiri tu
 
Katika hali inayozidi kudhihirisha anguko kubwa la chama kilichoitawala nchi yetu kwa zaidi ya nusu karne, magwiji wa siasa ndani ya chama hicho wanazidi kutimka.

The lates ni kuwa Professor Mark Mwandosya ambaye ni waziri katika serikali hii ya ccm na aliyekuwa mgombea urais kwa hatua za mwanzo ndani ya chama hicho, anahamia Chadema.

Waziri huyo ambaye hakusita kuuponda mfumo mbovu wa kupitishwa majina ya wagombea na kamati za maamuzi ya chama chake inasemekana ndani ya majuma mawili haya atatimkia Chadema.

Aidha, mkongwe na gwiji wa siasa nchini Kingunge Ngombale Mwilu ambaye hakuficha hisia na maoni yake ju ya dhurma alizofanyiwa Edward Lowassa na CCM ana mpango wa kutimkia chama cha wananchi CUF mapema wiki hili.

Kama hiyo haitoshi, waziri wa zamani wa Mambo ya ndani ndg Emmanuel Nchimbi anatimkia CUF na kuwa mgombea wa jimbo la Songea Mjini kupitia chama hicho.

Zaidi tutaendelea kujuzana

Kama ni Mwandosya sawa lakini Kingunge akili ilishazeeka
Apumzike tu
 
Source ya tetesi ni ipi?

Katika hali inayozidi kudhihirisha anguko kubwa la chama kilichoitawala nchi yetu kwa zaidi ya nusu karne, magwiji wa siasa ndani ya chama hicho wanazidi kutimka.

The lates ni kuwa Professor Mark Mwandosya ambaye ni waziri katika serikali hii ya ccm na aliyekuwa mgombea urais kwa hatua za mwanzo ndani ya chama hicho, anahamia Chadema.

Waziri huyo ambaye hakusita kuuponda mfumo mbovu wa kupitishwa majina ya wagombea na kamati za maamuzi ya chama chake inasemekana ndani ya majuma mawili haya atatimkia Chadema.

Aidha, mkongwe na gwiji wa siasa nchini Kingunge Ngombale Mwilu ambaye hakuficha hisia na maoni yake ju ya dhurma alizofanyiwa Edward Lowassa na CCM ana mpango wa kutimkia chama cha wananchi CUF mapema wiki hili.

Kama hiyo haitoshi, waziri wa zamani wa Mambo ya ndani ndg Emmanuel Nchimbi anatimkia CUF na kuwa mgombea wa jimbo la Songea Mjini kupitia chama hicho.

Zaidi tutaendelea kujuzana

Hatarii
 
Kama ni kwel mim naendelea kufurah na pia ccm waendelee kuiandaa kisaikolojia kuwa wapinzan ili nao wajue utamu wa mabomu kama tulivyoshuhudia kwa mara ya kwanza ccm kupigwa mabom dodoma ......

Mwaka huu mtafurah
 
Hizi tetesi zinatuvurugia sana hapa Lumumba, huu mwaka usiogawanyika kwa mbili haufai kabisa.

Ila ulitakiwa ugawanyike kwa tatu mkuu..
Yaani UKAWA,CCM na LOWASA..

 
Katika hali inayozidi kudhihirisha anguko kubwa la chama kilichoitawala nchi yetu kwa zaidi ya nusu karne, magwiji wa siasa ndani ya chama hicho wanazidi kutimka.

The lates ni kuwa Professor Mark Mwandosya ambaye ni waziri katika serikali hii ya ccm na aliyekuwa mgombea urais kwa hatua za mwanzo ndani ya chama hicho, anahamia Chadema.

Waziri huyo ambaye hakusita kuuponda mfumo mbovu wa kupitishwa majina ya wagombea na kamati za maamuzi ya chama chake inasemekana ndani ya majuma mawili haya atatimkia Chadema.

Aidha, mkongwe na gwiji wa siasa nchini Kingunge Ngombale Mwilu ambaye hakuficha hisia na maoni yake ju ya dhurma alizofanyiwa Edward Lowassa na CCM ana mpango wa kutimkia chama cha wananchi CUF mapema wiki hili.

Kama hiyo haitoshi, waziri wa zamani wa Mambo ya ndani ndg Emmanuel Nchimbi anatimkia CUF na kuwa mgombea wa jimbo la Songea Mjini kupitia chama hicho.

Zaidi tutaendelea kujuzana

Huko ndo kukua kwa demokrasia.
 
Back
Top Bottom