GE2025 Mpango wa Mbowe kwenda CHAUMMA umeshindikana

GE2025 Mpango wa Mbowe kwenda CHAUMMA umeshindikana

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Chaumma ni kweli itapata wafuasi wengi kutoka chadema ila zaidi watakua ni viongozi tu, sababu wana masilahi yao binafsi, wanayasaka kwa namna yoyote. Ila wafuasi wa chadema wa kweli hawawezi kuhama sababu chadema kwao ni kama imani. Sawa na Mfuasi wa HAMAS
Wafuasi watapatikana hata wasio viongozi. Ni kawaida kwa Chama kinachoanza kujitutumua, kupigwa spana na vyama viivyojipata. Hata ACT ilianza bila wafuasi lakini kwa sasa unaona inasimamisha wagombea kila kata. Wananchi wataizoea tu CHAUMMA na kwenda huko
 
Mpango ulikuwepo wa mbowe kujiunga chaumma imeshindikana. Pamoja na kushiriki ulaghai mwingi kwenye siasa lakini mpango huo wa kuhamia chaumma umeshindikana.
Aende tu maana amefirisika kisiasa, He can only win the heart of sa100 but not Confidence of general Public
Tumbocrat Mbowe is after his own selfish Interests
Mnakuwa kama msemaji wa Yanga. Anasema Mpanzu akiripoti Simba atatoa 10M, halafu siku mbili zinapita anasema Simba wamemficha Mpanzu. Kwani ni lini Mbowe alisema ana mpango wa kwenda CHAUMMA?
 
Nimekua nikitoa updates za Vita, basi leo niweze kuzungumza hili ili watu wajue maana mimi hufatilia kwa ukaribu siasa na hupata vyanzo vya uhakika.

Mpango ulikuwepo wa mbowe kujiunga chaumma imeshindikana. Pamoja na kushiriki ulaghai mwingi kwenye siasa lakini mpango huo wa kuhamia chaumma umeshindikana.

Wengi wanatarajia kesho ataibuka kwenye mkutano mkuu wa chaumma na kutangazwa kugombea uraisi, lakini ukweli hilo kesho halitakuwepo. Nimeona niwaweke wazi hili ili watu wasiendelee kusubiri hiyo kesho kijua mbivu na mbichi
Bado kidogo mtakuwa vichaa nyie Chadema. Muanzishe tetesi za Mbowe kwenda CHAUMA ninyi. Halafu ninyi ndio mgundue imeshindikana.
 
Nimekua nikitoa updates za Vita, basi leo niweze kuzungumza hili ili watu wajue maana mimi hufatilia kwa ukaribu siasa na hupata vyanzo vya uhakika.

Mpango ulikuwepo wa mbowe kujiunga chaumma imeshindikana. Pamoja na kushiriki ulaghai mwingi kwenye siasa lakini mpango huo wa kuhamia chaumma umeshindikana.

Wengi wanatarajia kesho ataibuka kwenye mkutano mkuu wa chaumma na kutangazwa kugombea uraisi, lakini ukweli hilo kesho halitakuwepo. Nimeona niwaweke wazi hili ili watu wasiendelee kusubiri hiyo kesho kijua mbivu na mbichi
Naona mbowe katanguliza mwanawe kwanza...
 
Mnakuwa kama msemaji wa Yanga. Anasema Mpanzu akiripoti Simba atatoa 10M, halafu siku mbili zinapita anasema Simba wamemficha Mpanzu. Kwani ni lini Mbowe alisema ana mpango wa kwenda CHAUMMA?
Mpango alikua nao, makubaliano ndio hayajakaa vizuri
 
Chadema itapambana na kila atakayekengeuka bila kuangalia sura ya mtu
Hilo swala limekuwa kifamilia zaidi, walimuomba aende; kaona busara dogo akapate fursa, kama wanataka, wampe dogo hiyo nafasi ili kukuza jina. Yeye anaweza kutoa sapoti ili dogo apete. Hii ni kifamulia zaidi. Hapo namuelewa.
 
Yaani Mbowe akifanya ujinga kama huo atakufa very lonely.

1.Atadharauliwa mno na wananchi wa kizazi hiki na kijacho
2. Atakwamisha mno jithada za mageuzi nchini maana wananchi watakosa imani na mwanasiasa yeyote wa upinzani
3. Anaweza kulaanika kwa sababu ya vipande vichache vya fedha.
 
Wafuasi watapatikana hata wasio viongozi. Ni kawaida kwa Chama kinachoanza kujitutumua, kupigwa spana na vyama viivyojipata. Hata ACT ilianza bila wafuasi lakini kwa sasa unaona inasimamisha wagombea kila kata. Wananchi wataizoea tu CHAUMMA na kwenda

Wafuasi watapatikana hata wasio viongozi. Ni kawaida kwa Chama kinachoanza kujitutumua, kupigwa spana na vyama viivyojipata. Hata ACT ilianza bila wafuasi lakini kwa sasa unaona inasimamisha wagombea kila kata. Wananchi wataizoea tu CHAUMMA na kwenda huko
ACT ni tofauti na CHAUMMA, ACT ni CUF, wafuasi wengi wa CUF ndio waliingia ACT, na mchakato wa kuondoka CUF ni tofauti na CHADEMA. Wale waliondoka baada ya kuona mwenyekiti wa zamani anataka kupindua meza, na kuonekana ni mkakati maalum. Sasa CHADEMA ni wazi ni maslahi binafsi.
 
Nimekua nikitoa updates za Vita, basi leo niweze kuzungumza hili ili watu wajue maana mimi hufatilia kwa ukaribu siasa na hupata vyanzo vya uhakika.

Mpango ulikuwepo wa mbowe kujiunga chaumma imeshindikana. Pamoja na kushiriki ulaghai mwingi kwenye siasa lakini mpango huo wa kuhamia chaumma umeshindikana.

Wengi wanatarajia kesho ataibuka kwenye mkutano mkuu wa chaumma na kutangazwa kugombea uraisi, lakini ukweli hilo kesho halitakuwepo. Nimeona niwaweke wazi hili ili watu wasiendelee kusubiri hiyo kesho kijua mbivu na mbichi
Wengi wanatarajia kesho ataibuka kwenye mkutano mkuu wa chaumma na kutangazwa kugombea uraisi, lakini ukweli hilo kesho halitakuwepo. Nimeona niwaweke wazi hili ili watu wasiendelee kusubiri hiyo kesho kijua mbivu na mbichi🤔❗
 
Hata asipoenda kwa watawala ni sawa tu tyr mpinzani walomtaka Mpina yupo.
Siasa za Tanzania bila demonstrations hatutoboi maanina.
I hope wananchi wapo tayar huu mwaka tumefanywa wajinga sana
 
ACT ni tofauti na CHAUMMA, ACT ni CUF, wafuasi wengi wa CUF ndio waliingia ACT, na mchakato wa kuondoka CUF ni tofauti na CHADEMA. Wale waliondoka baada ya kuona mwenyekiti wa zamani anataka kupindua meza, na kuonekana ni mkakati maalum. Sasa CHADEMA ni wazi ni maslahi binafsi.
ACT ilianzishwa 2014 mwishoni na uchaguzi mkuu wa 2015 ilifanikiwa kupata mbunge mmoja na madiwani 15 wa kuchaguliwa wakaunda Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma. Hawakuwa wafuasi wa CUF hawa, mpaka mwaka 2017 ndipo waliokuwa wafuasi wa CUF Zanzibar wakajiunga na ACT kumfuata Kiongozi wao Maalim Seif.

Hata CHAUMMA imekua na wafuasi wake binafsi ikiwa ni chama kinachojitegemea. Mwaka huo 2018/19 hivi Hashim Rungwe alikamatwa kwa kumpinga JPM na kuhoji hadharani, wakati huo hata CHADEMA hawakumpinga JPM hadharani hivyo.

Nachotaka kusema ni kuwa, vyama vya siasa kisheria vina hadhi sawa. CHADEMA inakosea sana kujipa uhalali wabkuwa msemaji wa vyama vingine au kutaka vyama vingine vyote vifuate kile inachokitaka.
 
Nimekua nikitoa updates za Vita, basi leo niweze kuzungumza hili ili watu wajue maana mimi hufatilia kwa ukaribu siasa na hupata vyanzo vya uhakika.

Mpango ulikuwepo wa mbowe kujiunga chaumma imeshindikana. Pamoja na kushiriki ulaghai mwingi kwenye siasa lakini mpango huo wa kuhamia chaumma umeshindikana.

Wengi wanatarajia kesho ataibuka kwenye mkutano mkuu wa chaumma na kutangazwa kugombea uraisi, lakini ukweli hilo kesho halitakuwepo. Nimeona niwaweke wazi hili ili watu wasiendelee kusubiri hiyo kesho kijua mbivu na mbichi
Lusungo Fundi Mchundo Ngongo
 
Back
Top Bottom