MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,009
- 2,171
Wana Jamii, Leo hii nimesikiliza majibu ya mkuu wa Tume ya uchaguzi juu ya malalamiko ya vyama vya upinzani specifically CHADEMA, kwamba usalama wa Taifa pamoja na tume wanacheza na daftari la wapiga kura ili liisaidie CCM kushinda ktk uchaguzi ujao.
Ktk majibu kupitia BBC tume inasema waliojiandikisha ni milioni 19 na zaidi (sikumbuki exact figure aliyotaja). Lakini Mkurugenzi wa shughuli za uchaguzi wa CHADEMA, Prof. Baregu, anasema figure kama hiyo ni ya kupika makusudi kabisa. Akimaanisha Tanzania iliyo na watu kama milioni 37 haiwezi kuwa na idadi ya wapiga kura inayofikia milioni19.
Kwangu mimi pia hii imenigusa maana sasa naona kweli tunachezewa. Kusema milioni 19 maana yake ni kwamba ~ nusu ya wa TZ wamejiandikisha kupiga kura. Ni ajabu maana kama ni hivyo hata watoto wamejiandikisha.
Ukurasa wa National Bureau of Statistics upande wa Mainland, update ya 2009:
http://www.nbs.go.tz/index.php?option=com_content&view=article&id=105&Itemid=109
Unaonyesha kwamba watoto wenye miaka 0-14 ni 44.2% na umri wa 15-64 ni 51.8%. Ina maana zaidi ya nusu ya wa TZ ni watoto (chini ya miaka 18). Mara nyingi inakubalika kusema wako ~60% na watu wazima ni40%.
Katika uchaguzi huu si watu wazima wote waliojiandikisha. Hebu tuseme 70% ya watu wazima. Ktk hali kama hiyo tume inatoa wapi idadi ya ~milioni 19?
CHADEMA wako sahihi. Tume inaongeza idadi nadhani ziada itatumika kujazia kura za jumla kwa mgombea anayehangaikiwa. Obviously ni wa CCM.
Hapa ni kama wanataka tuamini idadi ya wa-TZ ni ~milioni 50! Nonsense!
Wana habari tafuteni undani wa mambo haya kwa mwenyekiti wa tume ya Uchaguzi.
Ktk majibu kupitia BBC tume inasema waliojiandikisha ni milioni 19 na zaidi (sikumbuki exact figure aliyotaja). Lakini Mkurugenzi wa shughuli za uchaguzi wa CHADEMA, Prof. Baregu, anasema figure kama hiyo ni ya kupika makusudi kabisa. Akimaanisha Tanzania iliyo na watu kama milioni 37 haiwezi kuwa na idadi ya wapiga kura inayofikia milioni19.
Kwangu mimi pia hii imenigusa maana sasa naona kweli tunachezewa. Kusema milioni 19 maana yake ni kwamba ~ nusu ya wa TZ wamejiandikisha kupiga kura. Ni ajabu maana kama ni hivyo hata watoto wamejiandikisha.
Ukurasa wa National Bureau of Statistics upande wa Mainland, update ya 2009:
http://www.nbs.go.tz/index.php?option=com_content&view=article&id=105&Itemid=109
Unaonyesha kwamba watoto wenye miaka 0-14 ni 44.2% na umri wa 15-64 ni 51.8%. Ina maana zaidi ya nusu ya wa TZ ni watoto (chini ya miaka 18). Mara nyingi inakubalika kusema wako ~60% na watu wazima ni40%.
Katika uchaguzi huu si watu wazima wote waliojiandikisha. Hebu tuseme 70% ya watu wazima. Ktk hali kama hiyo tume inatoa wapi idadi ya ~milioni 19?
CHADEMA wako sahihi. Tume inaongeza idadi nadhani ziada itatumika kujazia kura za jumla kwa mgombea anayehangaikiwa. Obviously ni wa CCM.
Hapa ni kama wanataka tuamini idadi ya wa-TZ ni ~milioni 50! Nonsense!
Wana habari tafuteni undani wa mambo haya kwa mwenyekiti wa tume ya Uchaguzi.