ccm itashinda kwa kura ambazo hazijachakachuliwa. Kuwahusisha usalama wa taifa ni mbinu mbadala ya kutaka tuamini kwamba chadema wataibia kura.... Sera nzuri zinatosha kuzuia uchakachuaji eee nendeni kwa wananchi kawaambie uzuri wa chama chenu acha propaganda.
kinachotuma wasiwasi kura za maoni mlichakachuliana wenyewe lol, sasa kutoka pale kama nyie kwa nyie mnachakachuliana je kwa watoto wa wenzenu
zile kura za maoni ndo zilinifanya nikose imani na ccm........ Makamba ndo alikuwa anaamua ni nani apite
wachakachuaji wakubwa nyie, jamani chadema, caf, tlp ., nccr kaeni chonjo mnadili na mchakachuaji mashuhuri duniani anayechakachua hata mali yake haijawahi tokea popote duniani
mi kwangu niko makini ..... Unachakachua nakumaliza papo kwa papo