Elections 2010 Mpango wa kubadilisha matokeo ya Uchaguzi kweli umeandaliwa

ccm itashinda kwa kura ambazo hazijachakachuliwa. Kuwahusisha usalama wa taifa ni mbinu mbadala ya kutaka tuamini kwamba chadema wataibia kura.... Sera nzuri zinatosha kuzuia uchakachuaji eee nendeni kwa wananchi kawaambie uzuri wa chama chenu acha propaganda.



kinachotuma wasiwasi kura za maoni mlichakachuliana wenyewe lol, sasa kutoka pale kama nyie kwa nyie mnachakachuliana je kwa watoto wa wenzenu


zile kura za maoni ndo zilinifanya nikose imani na ccm........ Makamba ndo alikuwa anaamua ni nani apite

wachakachuaji wakubwa nyie, jamani chadema, caf, tlp ., nccr kaeni chonjo mnadili na mchakachuaji mashuhuri duniani anayechakachua hata mali yake haijawahi tokea popote duniani

mi kwangu niko makini ..... Unachakachua nakumaliza papo kwa papo
 
ndio maana wanahaha kupitisha kura milioni zaidi ya saba feki, ili kukamilisha hiyo idadi ya kupikwa. NEC YA KINA KIVIUTU HII.
 
Mawakala sawa, ya Kivuitu na Mwai huko Kenya na NEC yetu kuna tofauti?
Umesema kweli kabisa ndugu watu hawakumbuki kenya ilikuwaje huko, mfano halisi kabisa ulio jirani yetu.
 
AFU NYIE MKISHASHINDWA KWENYE UCHAGUZI MKUU,KUTOKANA NA UCHANGA KISIASA....
...... BADO MNAZO NAFASI KUGOMBEA TWANGA PEPETA,SIMBA SPOTI..YANGA..fm academia ???!!!!!!
......... si mnajua kuna nafasi Kibao za Uraisi,ujumbe wa kamati,kamati za ufundi,na
wazee wa mavuvuzela !!!!!!
 
Back
Top Bottom