Mpangilio wa Marais ungekua hivi , Tz ingekua mbali sana.

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,109
18,326
Kama Nyerere angejenga taasisi Imara na demokrasia Imara, na viongozi wakapatikana kwa haki bila dhuruma kama hapo chini, nchi hii invekua leo zaidi ya nchi zinazo onekana zipo na maendeleo

Utabiri wangu nilio uona leo nikiwa nimesinzia huko visiwani unguja nikipunga upepo.

1961- 1975: JK Nyerere
1975-1980: Osca Kambona
1980-1985: Bibi Titi
1985-1990: Sinde warioba
1990-1995: Ali Hassan Mwinyi
1995-2000: Ahamed Salim
2000-2005: Benjamini Mkapa
2005-2010: Edward Lowassa
2010-2015: JM Kikwete
2015-2020: JP Magufuli
2020-2025: Tundu lissu
2025-2030: Zito kabwe
2030-2035: January Makamba.
 
Kama Nyerere angejenga taasisi Imara na demokrasia Imara, na viongozi wakapatikana kwa haki bila dhuruma kama hapo chini, nchi hii invekua leo zaidi ya nchi zinazo onekana zipo na maendeleo
Utabiri wangu nilio uona leo nikiwa nimesinzia huko visiwani unguja nikipunga upepo.
1961- 1975: JK Nyerere
1975-1980: Osca Kambona
1980-1985: Bibi Titi
1985-1990: Sinde warioba
1990-1995: Ali Hassan Mwinyi
1995-2000: Ahamed Salim
2000-2005: Benjamini Mkapa
2005-2010: Edward Lowassa
2010-2015: JM Kikwete
2015-2020: JP Magufuli
2020-2025: Tundu lissu
2025-2030: Zito kabwe
2030-2035: January Makamba.
Tumbafu,hiyo tundu lisu iondoe tu,alafu weka mjomba wako
 
Kama Nyerere angejenga taasisi Imara na demokrasia Imara, na viongozi wakapatikana kwa haki bila dhuruma kama hapo chini, nchi hii invekua leo zaidi ya nchi zinazo onekana zipo na maendeleo

Utabiri wangu nilio uona leo nikiwa nimesinzia huko visiwani unguja nikipunga upepo.

1961- 1975: JK Nyerere
1975-1980: Osca Kambona
1980-1985: Bibi Titi
1985-1990: Sinde warioba
1990-1995: Ali Hassan Mwinyi
1995-2000: Ahamed Salim
2000-2005: Benjamini Mkapa
2005-2010: Edward Lowassa
2010-2015: JM Kikwete
2015-2020: JP Magufuli
2020-2025: Tundu lissu
2025-2030: Zito kabwe
2030-2035: January Makamba.
Mkuu acha masihara.
 
Ujinga uliopitiliza, sawa na kudai eti mama yako angeolewa na Obama, Bush, Mandela ,Biligate n.k. wewe unakula na akili. Upumbavu na Ujuha
Kama Nyerere angejenga taasisi Imara na demokrasia Imara, na viongozi wakapatikana kwa haki bila dhuruma kama hapo chini, nchi hii invekua leo zaidi ya nchi zinazo onekana zipo na maendeleo

Utabiri wangu nilio uona leo nikiwa nimesinzia huko visiwani unguja nikipunga upepo.

1961- 1975: JK Nyerere
1975-1980: Osca Kambona
1980-1985: Bibi Titi
1985-1990: Sinde warioba
1990-1995: Ali Hassan Mwinyi
1995-2000: Ahamed Salim
2000-2005: Benjamini Mkapa
2005-2010: Edward Lowassa
2010-2015: JM Kikwete
2015-2020: JP Magufuli
2020-2025: Tundu lissu
2025-2030: Zito kabwe
2030-2035: January Makamba.
 
Kama Nyerere angejenga taasisi Imara na demokrasia Imara, na viongozi wakapatikana kwa haki bila dhuruma kama hapo chini, nchi hii invekua leo zaidi ya nchi zinazo onekana zipo na maendeleo

Utabiri wangu nilio uona leo nikiwa nimesinzia huko visiwani unguja nikipunga upepo.

1961- 1975: JK Nyerere
1975-1980: Osca Kambona
1980-1985: Bibi Titi
1985-1990: Sinde warioba
1990-1995: Ali Hassan Mwinyi
1995-2000: Ahamed Salim
2000-2005: Benjamini Mkapa
2005-2010: Edward Lowassa
2010-2015: JM Kikwete
2015-2020: JP Magufuli
2020-2025: Tundu lissu
2025-2030: Zito kabwe
2030-2035: January Makamba.
Kuanzia 1961 adi 21-04-2019 hiyo itakua ni ndoto baada ya kushiba urojo huko unguja. Utabiri utaanzia 22-04-2019 kwenda mbele. Lakini jambo la msingi ni viongozi kutekeleza majukumu yao kwa mujibu wa katiba na sheria. Kama inatokea kiongozi akaliona hilo nakulisimamia kwa dhati bila kuweka itikadi za chama na ulevi wa madaraka, wananchi wanaweza kuridhika nae hata kama akiomba aendelee kwa miaka ya ziada. Laikini kwa jinsi mambo yanavyokwenda hata uchaguzi ukifanyika kila mwaka apewe mwingine bado haitakua suluhisho.
 
Watu wanaikimbia SACCOS ya Chadema Wengine kwa Ujinga,Wendawazimu na Ujuha bado wanang'ang'ania Chadema. Eye Mungu wasaidie
 
Kama Nyerere angejenga taasisi Imara na demokrasia Imara, na viongozi wakapatikana kwa haki bila dhuruma kama hapo chini, nchi hii invekua leo zaidi ya nchi zinazo onekana zipo na maendeleo

Utabiri wangu nilio uona leo nikiwa nimesinzia huko visiwani unguja nikipunga upepo.

1961- 1975: JK Nyerere
1975-1980: Osca Kambona
1980-1985: Bibi Titi
1985-1990: Sinde warioba
1990-1995: Ali Hassan Mwinyi
1995-2000: Ahamed Salim
2000-2005: Benjamini Mkapa
2005-2010: Edward Lowassa
2010-2015: JM Kikwete
2015-2020: JP Magufuli
2020-2025: Tundu lissu
2025-2030: Zito kabwe
2030-2035: January Makamba.
Maharage ya pasaka yamekuharibu
 
Kweli nimeota, baada ya kula urrojo. Ila kambona na bibi titi ni far better kuliko Mwinyi na Yule makamu wa nyerere aliye agiwa afunike kikombe.
Kuanzia 1961 adi 21-04-2019 hiyo itakua ni ndoto baada ya kushiba urojo huko unguja. Utabiri utaanzia 22-04-2019 kwenda mbele. Lakini jambo la msingi ni viongozi kutekeleza majukumu yao kwa mujibu wa katiba na sheria. Kama inatokea kiongozi akaliona hilo nakulisimamia kwa dhati bila kuweka itikadi za chama na ulevi wa madaraka, wananchi wanaweza kuridhika nae hata kama akiomba aendelee kwa miaka ya ziada. Laikini kwa jinsi mambo yanavyokwenda hata uchaguzi ukifanyika kila mwaka apewe mwingine bado haitakua suluhisho.
 
Magufuli angeharibu yote yaliyofanywa na watangulizi wake....Magufuli hakutakiwa kutawala katika karne ya 21..karne ya 21 haihitaji mtu mshamba na asiyependa demokrasia...pia ni karne ya utandawazi...huwezi kuwadanganya watu na yeye Magufuli Ana kipaji kikubwa Cha kusema uongo.
Kama Nyerere angejenga taasisi Imara na demokrasia Imara, na viongozi wakapatikana kwa haki bila dhuruma kama hapo chini, nchi hii invekua leo zaidi ya nchi zinazo onekana zipo na maendeleo

Utabiri wangu nilio uona leo nikiwa nimesinzia huko visiwani unguja nikipunga upepo.

1961- 1975: JK Nyerere
1975-1980: Osca Kambona
1980-1985: Bibi Titi
1985-1990: Sinde warioba
1990-1995: Ali Hassan Mwinyi
1995-2000: Ahamed Salim
2000-2005: Benjamini Mkapa
2005-2010: Edward Lowassa
2010-2015: JM Kikwete
2015-2020: JP Magufuli
2020-2025: Tundu lissu
2025-2030: Zito kabwe
2030-2035: January Makamba.
 
Back
Top Bottom