Mpangilio wa Marais ungekua hivi , Tz ingekua mbali sana.

Lowasa hata agombee Leo kupitia ccm hawezi shinda. Jamaa anaudini Sana enzi zile aliwaambia wakkkt wenzake kuwa "hii ni zamu yetu wkkkt" hivyo hafai kuwa raisi. Muslims & Catholic tangu rais was Kwanza hadi sasa.
 
Kama Nyerere angejenga taasisi Imara na demokrasia Imara, na viongozi wakapatikana kwa haki bila dhuruma kama hapo chini, nchi hii invekua leo zaidi ya nchi zinazo onekana zipo na maendeleo

Utabiri wangu nilio uona leo nikiwa nimesinzia huko visiwani unguja nikipunga upepo.

1961- 1975: JK Nyerere
1975-1980: Osca Kambona
1980-1985: Bibi Titi
1985-1990: Sinde warioba
1990-1995: Ali Hassan Mwinyi
1995-2000: Ahamed Salim
2000-2005: Benjamini Mkapa
2005-2010: Edward Lowassa
2010-2015: JM Kikwete
2015-2020: JP Magufuli
2020-2025: Tundu lissu
2025-2030: Zito kabwe
2030-2035: January Makamba.

Kwa KATIBA ipi na CHAMA kipi kwa.mfano.....?
 
Magufuli angeharibu yote yaliyofanywa na watangulizi wake....Magufuli hakutakiwa kutawala katika karne ya 21..karne ya 21 haihitaji mtu mshamba na asiyependa demokrasia...pia ni karne ya utandawazi...huwezi kuwadanganya watu na yeye Magufuli Ana kipaji kikubwa Cha kusema uongo.

"Magufuli hakutakiwa awe Rais baali alitakiwa aendelee kuwa MNYAPARA wa kusimamia mabarabara na kukariri idadi ya dagaa na samaki kwenye.maziwa na bahari zetu..." Nukuu mujarabu toka kwa hayati Mzee Kingunge.
 
Magufuli hafai kabisa ,si mmeshaambiwa hafai kuwa hata kuwa mwenyekiti wa kijiji hamjajionea tu jinsi anavyokomba matilioni .
 
Kama Nyerere angejenga taasisi Imara na demokrasia Imara, na viongozi wakapatikana kwa haki bila dhuruma kama hapo chini, nchi hii invekua leo zaidi ya nchi zinazo onekana zipo na maendeleo

Utabiri wangu nilio uona leo nikiwa nimesinzia huko visiwani unguja nikipunga upepo.

1961- 1975: JK Nyerere
1975-1980: Osca Kambona
1980-1985: Bibi Titi
1985-1990: Sinde warioba
1990-1995: Ali Hassan Mwinyi
1995-2000: Ahamed Salim
2000-2005: Benjamini Mkapa
2005-2010: Edward Lowassa
2010-2015: JM Kikwete
2015-2020: JP Magufuli
2020-2025: Tundu lissu
2025-2030: Zito kabwe
2030-2035: January Makamba.
Kwa kuwa it is just a wish no further comment
 
Kama Nyerere angejenga taasisi Imara na demokrasia Imara, na viongozi wakapatikana kwa haki bila dhuruma kama hapo chini, nchi hii invekua leo zaidi ya nchi zinazo onekana zipo na maendeleo

Utabiri wangu nilio uona leo nikiwa nimesinzia huko visiwani unguja nikipunga upepo.

1961- 1975: JK Nyerere
1975-1980: Osca Kambona
1980-1985: Bibi Titi
1985-1990: Sinde warioba
1990-1995: Ali Hassan Mwinyi
1995-2000: Ahamed Salim
2000-2005: Benjamini Mkapa
2005-2010: Edward Lowassa
2010-2015: JM Kikwete
2015-2020: JP Magufuli
2020-2025: Tundu lissu
2025-2030: Zito kabwe
2030-2035: January Makamba.
Unatumia kinywaji gani wewe hata hueleweki.
 
Edo alitakiwa achukua kwa mkapa.. alikuwa na vision nzuri sana. Nchi ambayo edo angeikuta invekua tayari imetengenezwa na kina kambona na ahamed salim pamoja na mkapa. Kambona alikua na mambo mazuri ila nyerere alishikilia ujamaa wake
Lowasa hata agombee Leo kupitia ccm hawezi shinda. Jamaa anaudini Sana enzi zile aliwaambia wakkkt wenzake kuwa "hii ni zamu yetu wkkkt" hivyo hafai kuwa raisi. Muslims & Catholic tangu rais was Kwanza hadi sasa.
 
Kama Nyerere angejenga taasisi Imara na demokrasia Imara, na viongozi wakapatikana kwa haki bila dhuruma kama hapo chini, nchi hii invekua leo zaidi ya nchi zinazo onekana zipo na maendeleo

Utabiri wangu nilio uona leo nikiwa nimesinzia huko visiwani unguja nikipunga upepo.

1961- 1975: JK Nyerere
1975-1980: Osca Kambona
1980-1985: Bibi Titi
1985-1990: Sinde warioba
1990-1995: Ali Hassan Mwinyi
1995-2000: Ahamed Salim
2000-2005: Benjamini Mkapa
2005-2010: Edward Lowassa
2010-2015: JM Kikwete
2015-2020: JP Magufuli
2020-2025: Tundu lissu
2025-2030: Zito kabwe
2030-2035: January Makamba.
Benard Membe vp
 
Kama Nyerere angejenga taasisi Imara na demokrasia Imara, na viongozi wakapatikana kwa haki bila dhuruma kama hapo chini, nchi hii invekua leo zaidi ya nchi zinazo onekana zipo na maendeleo

Utabiri wangu nilio uona leo nikiwa nimesinzia huko visiwani unguja nikipunga upepo.

1961- 1975: JK Nyerere
1975-1980: Osca Kambona
1980-1985: Bibi Titi
1985-1990: Sinde warioba
1990-1995: Ali Hassan Mwinyi
1995-2000: Ahamed Salim
2000-2005: Benjamini Mkapa
2005-2010: Edward Lowassa
2010-2015: JM Kikwete
2015-2020: JP Magufuli
2020-2025: Tundu lissu
2025-2030: Zito kabwe
2030-2035: January Makamba.
Aiseeeee kumbe ndoto yako ilikuwa inaangalia sura ya mtu..ndoto mbaya sana hiyo..umechanganya mafisadi na wazalendo duuuu..ila mpangilio wako upo kijanja...yaani kuna kipindi pesa inatengenezwa na kuna kipindi cha kupiga hela...hahahahah..nchi itaendelea vipi kwa style hii wewee
 
Lowasa hata agombee Leo kupitia ccm hawezi shinda. Jamaa anaudini Sana enzi zile aliwaambia wakkkt wenzake kuwa "hii ni zamu yetu wkkkt" hivyo hafai kuwa raisi. Muslims & Catholic tangu rais was Kwanza hadi sasa.
Hivi watu wanawaza hata mafisadi wapewe nchi wajameni wajameni wajameni
 
Edo alitakiwa achukua kwa mkapa.. alikuwa na vision nzuri sana. Nchi ambayo edo angeikuta invekua tayari imetengenezwa na kina kambona na ahamed salim pamoja na mkapa. Kambona alikua na mambo mazuri ila nyerere alishikilia ujamaa wake
linganisha sifa kubwa aliyo nayo Edo kama unamjua vizuri kiasi cha kumpa urais nchi hii.nipe majibu haraka kabla hujanichafulia siku
 
Edo alitakiwa achukua kwa mkapa.. alikuwa na vision nzuri sana. Nchi ambayo edo angeikuta invekua tayari imetengenezwa na kina kambona na ahamed salim pamoja na mkapa. Kambona alikua na mambo mazuri ila nyerere alishikilia ujamaa wake
Vision ipi. embu.fafanua...jomba
 
"Magufuli hakutakiwa awe Rais baali alitakiwa aendelee kuwa MNYAPARA wa kusimamia mabarabara na kukariri idadi ya dagaa na samaki kwenye.maziwa na bahari zetu..." Nukuu mujarabu toka kwa hayati Mzee Kingunge.
Mmepotea , yule ni chaguo la Mungu....hata mfanyeje hamwezi shindani na Mungu wa Mbinguni
 
Back
Top Bottom