VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Ninavyoamini,uimara wa chama au taasisi fulani hutegemea sana kiongozi au viongozi waliopo hapo.
Ili mtu ajue umahiri wa CHADEMA na CCM aangalie safu ya viongozi wake hasa wale wa ngazi ya juu ambao kimsingi wao ndio chachu na kioo cha mafanikio ya chama.
Hakuna haja ya kuigana kufanya mkutano wa hadhara Jangwani. Kama umezidiwa kwa hili,tafuta mbinu kuzidi kwa lile.
Safu za viongozi wa juu wa CHADEMA na CCM iko hivi:
CHADEMA vs CCM CHEO
Freeman Aikaeli Mbowe Jakaya Mrisho Kikwete-Mwenyekiti
Said Amour Arfi Pius Petro Msekwa-Makamu Mwenyekiti,Bara
Said Issa Mohammed Amani Abed Karume-Makamu Mwenyekiti,Zanzibar
Dr.Wilbrod Peter Slaa Wilson Mukama-Katibu Mkuu
Zitto Zuberi Kabwe George Huruma Mkuchika-Naibu Katibu Mkuu
John John Mnyika Nape Moses Nnauye-Msemaji Mkuu
Tuanzie hapo tuone nani zaidi.
Ili mtu ajue umahiri wa CHADEMA na CCM aangalie safu ya viongozi wake hasa wale wa ngazi ya juu ambao kimsingi wao ndio chachu na kioo cha mafanikio ya chama.
Hakuna haja ya kuigana kufanya mkutano wa hadhara Jangwani. Kama umezidiwa kwa hili,tafuta mbinu kuzidi kwa lile.
Safu za viongozi wa juu wa CHADEMA na CCM iko hivi:
CHADEMA vs CCM CHEO
Freeman Aikaeli Mbowe Jakaya Mrisho Kikwete-Mwenyekiti
Said Amour Arfi Pius Petro Msekwa-Makamu Mwenyekiti,Bara
Said Issa Mohammed Amani Abed Karume-Makamu Mwenyekiti,Zanzibar
Dr.Wilbrod Peter Slaa Wilson Mukama-Katibu Mkuu
Zitto Zuberi Kabwe George Huruma Mkuchika-Naibu Katibu Mkuu
John John Mnyika Nape Moses Nnauye-Msemaji Mkuu
Tuanzie hapo tuone nani zaidi.